Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 5,989
- 11,518
Na hilo dimbwi la wanoshuka daraja na sisi ndio tunalitaka waende huko na wakafie hukohuko chini.Poleni man u
Degea kaumia
Kuna uwezekano akaikosa Liverpool
Huyu jamaa uwepo wake mmekuwa mkipata hata droo
Akikosekana mwezi mmoja tu kuna uwezekano mkaingia Kwenye dimbwi la wanaoshuka daraja bila kupepesa macho.View attachment 1234528