Nimeshazoea mkuu ..bado tunajenga timu hichi ni kipindi cha mpito tu..Kamanda mkuu Ollachuga leo umefurahishwa na nini hasa?
Maana hujajipiga ban pa1 na timu yetu Chelsea kufungwa
Najitoa kwenye hili jukwaa mpka msimu wa 2020/21 ndo nitarudi tena..Hahaaa ulisema akifika goli 15 unafanyaje?
Hii timu ikimaliza nafasi nzuri ni 8 mpaka 10.. HATA 6 itatukosa.
we mtu weweNataka niinunue hii timu niwapoze hasira
Mimi kama shabiki damu wa united naomba kuungana na wewe huyu dogo asee hamna kitu.Najitoa kwenye hili jukwaa mpka msimu wa 2020/21 ndo nitarudi tena..
Kila la kheri Chelsea
Hiyo no namuamini sana Martial kuliko makameRashford striker asie na madhara nje ya mashambulizi ya kushtukiza
Kuna watu wakawa wanasema Rashford awekwe namba Tisa kuliko Martial
Kufeli kwa LVG haimanishi makocha wengine pia watafeli. Hata hivyo LVG, alikuwa Old school, kuna makocha wazuri wanafundisha modern football, kama
Ten Hag
Jardim
Kuna yule aliyeko RB leipzig, Naingelsman
Hata Allegri sio mbaya
Luis enrique.
Atleast hao wameprove wanaweza kusuka kikosi na kikacheza mpira unaeleweka na kucompete kwenye top level,
Napenda sana OLE afanikiwe tena afanikiwe akiwa kocha wa Man u. But........
#MUFC have spent £880 million in the last 6 years and currently have Jesse Lingard playing as a striker
shida ni nini sasa?Ole anatuletea shida sana yani hatuwezi nilikiota mpira kabisa team yetu inabahatisha pasi 2 ya 3 imepotea....owky tunawachezaji poor so hata kuuchezea tu mpira tuoate suluhu ya 0 0 hatuwezi....mbona kipindi cha van gal hadi Phil Jones alicheza kiungo na timu pinzani tukazikamata......set up ya ole ni mbovu shida sio kiungo wala nini
mbadala wake si rashford au?Kumuuza lukaku tena bila mbadala ilikua kosa
huwezi tumia mpira wa Ferguson enzi za kizazi ambacho hata guadiora kachange style kaongeza kasi wewe unataka kucheza ivyo ivyo tuNachokiona Ole ni mwanafunzi wa Ferguson lakini ana ubongo wa Arsene Wenger