You all so called real man utd fans deserve this.

Imagine sacking a real proven winner for this d*ckhead.
 
Rashford striker asie na madhara nje ya mashambulizi ya kushtukiza

Kuna watu wakawa wanasema Rashford awekwe namba Tisa kuliko Martial
 
Hata mimi LVG simkubali sababu anazingatia ufundi sana (ni pure tactical coach) na haruhusu wachezaji kuji express

Hao uliowataja, baadhi kama Jordim anakaribia kupoteza kazi pale Monaco, Luis Enrique sio mzuri kivile maana alikuwa pale Roma na pale Barca alifanikiwa sababu ya structure aliyoikuta (management + wachezaji bora aliyowakuta). Hao makocha wengine sijawajua vizuri, lakini kuwaleta United itakuwa kama kufanya majaribio tu

Kiujumla pale United tatizo kubwa sio kocha, hii itakuwa mara ya 100 nasema tatizo ni management ya timu (board). United amebadili makocha wangapi tangu aondoke SAF, je kweli tatizo litakuwa ni kocha tu. Nakubaliana na Wadau kwamba makocha nao wana mapungufu yao lakini United hierarchy is a root of all troubles.
Kufeli kwa LVG haimanishi makocha wengine pia watafeli. Hata hivyo LVG, alikuwa Old school, kuna makocha wazuri wanafundisha modern football, kama

Ten Hag
Jardim
Kuna yule aliyeko RB leipzig, Naingelsman
Hata Allegri sio mbaya
Luis enrique.

Atleast hao wameprove wanaweza kusuka kikosi na kikacheza mpira unaeleweka na kucompete kwenye top level,

Napenda sana OLE afanikiwe tena afanikiwe akiwa kocha wa Man u. But........
 
Ole anatuletea shida sana yani hatuwezi nilikiota mpira kabisa team yetu inabahatisha pasi 2 ya 3 imepotea....owky tunawachezaji poor so hata kuuchezea tu mpira tuoate suluhu ya 0 0 hatuwezi....mbona kipindi cha van gal hadi Phil Jones alicheza kiungo na timu pinzani tukazikamata......set up ya ole ni mbovu shida sio kiungo wala nini
shida ni nini sasa?
 
70638917_2825946954106762_1301048892216836096_n.jpg
 
Back
Top Bottom