Kauki
Wapo kibao sema nani atauza jezi pale?

Kauli yako sikuipenda kabisa. Pogba na beckam Nani alikuwa anauza san mbona alisepa, adidas wakitaka yyt anauza jezi, kick tu ndio inauza so lolote. Pogba hakuwa na profile ile. Bei aliyonunuliwa ilimpaisha, hata Angelina matuidi kwa Bei mbaya
 
Kauki

Kauli yako sikuipenda kabisa. Pogba na beckam Nani alikuwa anauza san mbona alisepa, adidas wakitaka yyt anauza jezi, kick tu ndio inauza so lolote. Pogba hakuwa na profile ile. Bei aliyonunuliwa ilimpaisha, hata Angelina matuidi kwa Bei mbaya

Zama hizi unaongelea mambo ya beckham ambapo mtu maarufu alikuwa kocha sir alex ferguson acha utani basi timu kwa sasa haina uongozi ndio maana wakina pogba na martial wanalelewa kama mayai kwa sababu za kibiashara tu unakataa nini kama pogba ndio injini ya biashara pale? Matuidi ana sura ya biashara?

Ukweli mchungu ndio maana hukupenda kipindi cha sir alex huwez kukuta mchezaj anaongea kwenye media kwamba anataka changamoto mpya kisha akabaki wenzio wanaangalia biashara zaidi kwa sasa
 
" Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact. I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"

"it basically means you sit deep, create two compact lines of defence, do not press high and ask a team whether can break you down"
Jose Mourinho 11/08/ 2019

1568199835495.png


kilichotokezea baadae
wolves 1 man utd 1
man utd 1 crystal palace 2
Southampton 1 man utd 1
 
Solskjaer is without a win away from home since taking a job on a full-time basis, united have 1 clean sheet in 19 games, united have won only three times in 16 games.

united have score more than once in a game only three times in that sequence and won by more than one goal-margin on only one occasion since March 6.
journalist Adam Crafton
 
the problems are exactly like Mourinho described.

" solksjaer's high pressing counter-attacking system is encountering trouble when a team does not provide a space to play.
on Saturday (against Southampton) United's sole source of inspiration comes from the increasingly outstanding daniel James."

he scored with a scorching effort, to add to last weekends more deft curling strike, and he was a constant source of direct running and powerful shooting.

yet as the confidence seeped from players such as juan mata, rashford, martial and perreira, united become even more dependent on daniel james.
1568201309060.png

hatimaye nimeibuka mshindi japo kwa asilimia 50 kwenye mjadala wetu unaomuhusu daniel james, nilisema na naendelea kusema kwa timu yetu ilivyo tuliwahitaji wanadamu aina ya james wawili.

nilisema klabu inakwenda kumbebesha majukumu mazito bwana james kuna watu wakawa hawanielewi, utawasikia wanamtaja martial yupo, rashford yupo.
usenge mtupu​

hii ni aibu kwa timu kubwa kama man utd inayolipa mishahara wachezaji wake mpaka kufikia paundi laki mbili kwa wiki kumbebesha mzigo wa majukumu kitoto kidogo kinachoitwa james.
 
the problems are exactly like Mourinho described.

" solksjaer's high pressing counter-attacking system is encountering trouble when a team does not provide a space to play.
on Saturday (against Southampton) United's sole source of inspiration comes from the increasingly outstanding daniel James."

he scored with a scorching effort, to add to last weekends more deft curling strike, and he was a constant source of direct running and powerful shooting.

yet as the confidence seeped from players such as juan mata, rashford, martial and perreira, united become even more dependent on daniel james.
View attachment 1204431

hatimaye nimeibuka mshindi japo kwa asilimia 50 kwenye mjadala wetu unaomuhusu daniel james, nilisema na naendelea kusema kwa timu yetu ilivyo tuliwahitaji wanadamu aina ya james wawili.

nilisema klabu inakwenda kumbebesha majukumu mazito bwana james kuna watu wakawa hawanielewi, utawasikia wanamtaja martial yupo, rashford yupo.
usenge mtupu​

hii ni aibu kwa timu kubwa kama man utd inayolipa mishahara wachezaji wake mpaka kufikia paundi laki mbili kwa wiki kumbebesha mzigo wa majukumu kitoto kidogo kinachoitwa james.
Hahaa aibu kubwa dogo alietoka championship kuwa tegemezi na kuna watu wapo msimu wa tatu huu hawaeleweki
 
Hahaa aibu kubwa dogo alietoka championship kuwa tegemezi na kuna watu wapo msimu wa tatu huu hawaeleweki
Huyo mtoto atafanya vzr ,maana hana presha ,kaja kwa bei ya kawaida,mshahara wa kawaida , kinachowapoteza wachezaji wengi wanaoenda man u ni Presha hakuna kingine , Depay sasa hivi ni watofauti , Lkn presha ilimshinda , man u wakikusahiri kwa hela ndefu na mshahara mkubwa ,wanataka fasta uanze Ku deliver , plus presha ya mashabiki .

James hata akiboronga hawez kupata presha ,kwanza kaja kwa hela ya kawaida .

Hivo man u irudi kwenye misingi yake yakusajiri wachezaji wafia timu ,sio Macelebrite

Angalia Fred katoka shaktar akiwa fire , Leo presha inamzidi man u, akikosa consistency mech 2 tu , kelele dunia nzima.
 
Solskjaer is without a win away from home since taking a job on a full-time basis, united have 1 clean sheet in 19 games, united have won only three times in 16 games.

united have score more than once in a game only three times in that sequence and won by more than one goal-margin on only one occasion since March 6.
journalist Adam Crafton
huyo ole kwenye mechi ya leicester pia hashindi mnamuamn huyu bdo anasafari tuombe uzima me naona kashachemka....
 
Nimeangalia mechi ya hisani kati ya Man Utd vs Man City.

Robin Van Persie, Paul Scholes wanaweza kuingia kwenye current squad ya Man Utd na wakafanya vizuri zaidi ya waliopo.

Xavi hernandez

Paul Scholes receives special praise: ‘In the last 15 to 20 years the best central midfielder that I have seen — the most complete — is Scholes. I have spoken with Xabi Alonso about this many times. Scholes is a spectacular player who has everything.

Nilijuaga jamaa anaongea ki mpira tu wala sikutilia mkazo lakin kwa jana
 
Xavi hernandez

Paul Scholes receives special praise: ‘In the last 15 to 20 years the best central midfielder that I have seen — the most complete — is Scholes. I have spoken with Xabi Alonso about this many times. Scholes is a spectacular player who has everything.

Nilijuaga jamaa anaongea ki mpira tu wala sikutilia mkazo lakin kwa jana
huyo ndio Paul bhana anakupiga kiatu vizuri na mpira anaupiga mwingi anarusha mishale kama xhaka bora nimtaje xhaka maana hakuna mrusha mishale kwa sasa wanayemjua zaid ya xhaka.


Scholes kawafanya viungo wengi waonekane mafala tu kila wakikutana nae ....walikuja kumweza wakina Hernandez na iniesta ....

Na kuna muda fulan viera alimuweza ,

ila kwanza hakuna MTU alitaman kucheza na Man u harafu akute scholes kwenye list ya wanaoingia pitch.
 
huyo ndio Paul bhana anakupiga kiatu vizuri na mpira anaupiga mwingi anarusha mishale kama xhaka bora nimtaje xhaka maana hakuna mrusha mishale kwa sasa wanayemjua zaid ya xhaka.


Scholes kawafanya viungo wengi waonekane mafala tu kila wakikutana nae ....walikuja kumweza wakina Hernandez na iniesta ....

Na kuna muda fulan viera alimuweza ,

ila kwanza hakuna MTU alitaman kucheza na Man u harafu akute scholes kwenye list ya wanaoingia pitch.
no comment
 
167 Reactions
Reply
Back
Top Bottom