Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli zake anafungia palepale.Goal zuri sana alilofunga
KDB vs Pogba.
Haaa haaa mbna kibabe mkuuCase closed
Daemusin bado anaamini kwamba bado mapema sana swala.kumnyamazishaHahahahaha
Umenikumbusha mtazamo wa Daemusin kuhusu huyu dogo
Jamaa hakumwamini kabisa huyu dogo..na inawezekana bado hajamuamini
Ana jicho sana la goli kwa mipira ya aina hiyo.Goli zake anafungia palepale.
teh teh huyu swala wa malikia anataka kunifanya niombe radhi mchana kweupeee.Daemusin bado anaamini kwamba bado mapema sana swala.kumnyamazisha
Kwanza Matic arudi kikosini,.Leicester city + west ham + arsenal.
mechi zote hizi tunauhitaji zaidi mguu wa juan mata kuliko mguu wa perreira
matic + mc'tominay + pogbaKwanza Matic arudi kikosini,.
Ndio.. siku kamari ya OLE ikigoma ndio atamkumbuka?!matic + mc'tominay + pogba
ndicho unachomaanisha?
Kwanza Matic arudi kikosini,.
Leicester city + west ham + arsenal.
mechi zote hizi tunauhitaji zaidi mguu wa juan mata kuliko mguu wa perreira
Kuna kitu cha kujifunza hapa kwa Bodi ya Man United kabla haijawa too late
Hii kujivunia "Big Brand" iangaliwe kwa Makini.
Tulishazoea kuwa linapokuja suala la Mapato Man United inakua juu kwa kila idara.
Lakini msimu uliomalizika naona kwenye Mapato ya TV imekuwa wa 5, imepitwa na hata Spurs.
View attachment 1202424