Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,246
- 34,196
Kwanini tulipo wapiga bao nne ukakimbia kabisa teh tehRefa kawabeba sana hongereni kwa ushindi wenu wa kwanza ..
Magwaya na Bissaka bado hawaja improve chochote, ni gemu tu ilikuwa upande wenu..
#TukutaneDarajani