OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,126
- 24,062
Dah! Tumeikosa mkuu..Chukua ndoo hiyo mkuu
Dah! Tumeikosa mkuu..Chukua ndoo hiyo mkuu
Penalt hua hazitabiriki! Yeyote anaweza shinda!Dah! Tumeikosa mkuu..
Polen sanaaa mkuu ili still mmeonesha mnawezaDah! Tumeikosa mkuu..
Naww nikaongo kweli
Njoo utupe matokeoAngalieni tunavyomnyoa kuku uko..
This is Chelsea..
Ulijipiga ban baada ya ile 4, ukarudi katikati ya mechi ya liver baada ya kuongoza 1, utajipiga ban tena baada ya liver kukunyoaAngalieni tunavyomnyoa kuku uko..
This is Chelsea..
Mkuu tumefikia huku? Kwanini tusipambane kwa hoja? Bunduki za nini? Hutaki kukosolewa unapokosea? Utajifunza nini sasaTena wewe uliechomoa betri pale msamvu , hivi inaelewa logic ya nilichoandika??
Naona umeamua kuja kishari , nikuonye tu Mimi niko tayari kupambana na wewe kwa vita ya aina yoyote .. Kwasababu unataka kuniharibia siku Yangu baada ya kuwa na Furaha isiyomithirika kutokana na ushindi mororo wa 4-0 kutoka kwa wale vijana wa daraja la Manzese ( Chelsea ) .. Nakuomba ujibu tena " Kibwege" uinr nitakavyokuangusha chini , nikuchomoe betri,l na kuiba mafuta ili uripuke kisawasawa.. Ng'ombe wewe
Nipo kiongozi majukumu tu ..Tumekufa kiume jana mkuuUlijipiga ban baada ya ile 4, ukarudi katikati ya mechi ya liver baada ya kuongoza 1, utajipiga ban tena baada ya liver kukunyoa
Dakk za mchezo 120 Liverpool 2-2 Chelsea(underrated)Njoo utupe matokeo
Hii line ya mwisho nimeipenda kwakua unatambua sleeping giant is awaken(Manchester United)Nipo kiongozi majukumu tu ..Tumekufa kiume jana mkuu
Enewei kifo ni kifo tu ..Hongera nyingi kwa Liverpool ..
Two defeats against two giant clubs ..inatupa experience ya kutosha bado naimani tuna timu nzuri ya kuleta ushindani EPL
#KTBFFH
Yea tunagemea mengi mazuri kutoka kwa this giant ..moto aliyotuwashia sisi awashe na kwingine pia.. isije kuwa ni bahati mbaya tu ilitokea, na huo ndo ushindani unaotakiwa..Hii line ya mwisho nimeipenda kwakua unatambua sleeping giant is awaken(Manchester United)
Kwa Wage anayobeba hata Mimi ningegoma kuondoka nikahiari nikae Bench.
tukomae na fred tu, akipiga tizi la kutosha atakua hakamatiki, huku tunampa nafasi kidogo kidogo GarnerImetajwa kuwa
United hawakumsaini Bruno Fernandes sababu ya takwimu zake zisizoridhisha za utoaji pass (success rate ya pass zake ni 75%,Pogba 82% na De Bruyne ni 80% kwa msimu uliopita)
Pia scouts wameshauri kuwa anapoteza mipira sana hivyo asisajiliwe
bado wapo, united wana wadhamini wengi, huo uwanja wa mazoezi unaitwa AoN training complexChevrolet wameondoka ?
Man Utd wapo tayari kulipa huo mshahara aondoke, lakini bado hataki hivyo sio sababu ya hela tu, maybe Jamaa bado anataka kuprove yeye Ni elite player?
Binafsi naamini pia akipewa nafasi msimu huu kuna kitu ataprove. | |
Kipi kinakufanya uamini??
Binafsi naamini pia akipewa nafasi msimu huu kuna kitu ataprove.