Mbona unakata tamaa bila hoja mkuu?? Mechi moja, nayo si kwamba kiungo imepwaya kiivyo na pengine ilikuwa game approach, una-argue as if tumefungwa goli 10?Najiuliza mpaka sasa.
Kama waliweza kusajili mabeki, walishindwa vipi kusajili viungo?
Joao Felix na Bruno Fernandez ilikuwa addition bora kabisa pale O.T.
Mzigo wote wa kiungo unamuangukia Pogba.
Kiungo kikifa, lawama zote kwa Pogba. Mambo yakiwa fresh, shangwe kwa McTomminay.
Hii timu ina fustrate sana.
Wenzetu wanaenda kwa vigezo vinavyopimika wanapofanya tathimini, hawaangalii tuu kwa macho. Jana kuna mdau kashusha data za Tominay hapa, sasa wewe una-argue kwa vigezo vp.