Sasa Nasemaje tengeneza kikosi chako unachokijua halafu kilete kicheze na Manchester united Eti Maguire anajificha kwenye takwimu!!!!tengeneza hoja acha chuki na kuchambua mpira kishamba
Kwa muono wangu mdogo, Maguire naona bado sana na mtakuja kumtukana ,mtu pekee ambaye mmepata ni Bisaka , huyu jamaa ana pandisha timu anakaba pia , ila kwakuwa mlishinda 4-0 ,basi Maguire anajificha kwenye takwimu ,ila tukija reality Maguire ni mzito ,hivo akikutana na viberenge au mchezo wa kasi sana ,anapotea ,hili wana man u wengi hamtaki kulisikia ,lakini muda utasema

Niungane na raisi wa Napoli aliyesema thaman ya Maguire ni £30-35m , natoa mech 5 ,mtakuja hapa kutafuta mchawi ni nani

Hebu fikiria Chelsea mbovu hii isiyo na matumain ya hata ya nafasi ya 10 ,ilikuwa ibatengeneza nafas clear mbele ya Maguire ,kinachoficha udhaifu niliouona kwa Maguire ni takwimu za hapa na pale ambazo hizo takwimu hata beki mbovu Mustafi au lovren wanazo kuzidi Maguire ,hivo wana manchesta msijipe moyo na matarajio makubwa kwa magwaya .

Kwa Bisaka sina neno ana kila kitu ambacho FB anatakiwa awe nacho, ila Maguire mhhh muda utasema.
 
Mkuu hizi siku mbili umejifungia ndani. Ukajipiga ban kabisa. Nilikwambia na nitakwambia tena hamna uwezo.
Hakuna cha refa.. wala cha nn. Chelsea mlikosa mipango endelevu. Katikati mko vizur. Mbele na drfence hovyo.
Kumiliki mpira si magoli.. na mkikaa vibaya mnakuwa kama arsenal. Hao watoto si wa kuwaamini sana
Bwana Detective juzi hauna mpira wowote man u walicheza ..Sema wale madogo wetu hawakuwa makini ukicheki ni mechi kubwa wameanza nayo ..ila tunajua hii manure aifikishi mechi kumi tutatafutana apa nan mchawi..

Rashid na Masho sio wachezaji wa kuleta chochote kitu apo OT..
 
Bwana Detective juzi hauna mpira wowote man u walicheza ..Sema wale madogo wetu hawakuwa makini ukicheki ni mechi kubwa wameanza nayo ..ila tunajua hii manure aifikishi mechi kumi tutatafutana apa nan mchawi..

Rashid na Masho sio wachezaji wa kuleta chochote kitu apo OT..
Man u hamna kitu..? Magoli 4 wamepataje? Mlikuwa mmesimama?
Iko hiv man u mliwazid katikati. Na hii ni sababu hakuna usajili wa mtu wa kati ndio maana pogba alipotea kidogo.
Lakin man u hao hao wakagundua udhaifu wenu mkubwa. Deffence yenu ni uji kaka.. kubali ukatae.


Kwa ile diffence.. mkija kutana na timu zinazo press kama liverpool na city watawafanya kitu kibaya sana.

Ole alijiunza kutokuwaamini watoto kwenye epl. Mwaka jana yalimtokea ole puani. Ndio maana kikosi cha kwanza . Watoto ni kidogo... tena wanacheza mbele tu.. na waanzia benchi.

Endeleeni kuwaamini akina mason mount na tammy abraham. Mechi kumi tu utapotea jf.

Epl ni ruthless league. Sio laliga
 
Sidhan kama maguire anajificha kwenye takwimu. Ni style y uchezaji tu.
Ameibadilisha deffence ya man u. Kutoka kuwa defence ya kipumbav mpaka kuwa defence inayoanzisha mashambulizi.
Amin nakwambia kama mechi ya chelsea wangecheza smalling na jones. Zile goli nne zingekuwa kwa man u si chelsea. Halaf maguire ni captain material. Anaongea anapanga wenzie.

Angekuwa hana kitu hata timu akiyotokea angekuwa benchi tu.
Kwa muono wangu mdogo, Maguire naona bado sana na mtakuja kumtukana ,mtu pekee ambaye mmepata ni Bisaka , huyu jamaa ana pandisha timu anakaba pia , ila kwakuwa mlishinda 4-0 ,basi Maguire anajificha kwenye takwimu ,ila tukija reality Maguire ni mzito ,hivo akikutana na viberenge au mchezo wa kasi sana ,anapotea ,hili wana man u wengi hamtaki kulisikia ,lakini muda utasema

Niungane na raisi wa Napoli aliyesema thaman ya Maguire ni £30-35m , natoa mech 5 ,mtakuja hapa kutafuta mchawi ni nani

Hebu fikiria Chelsea mbovu hii isiyo na matumain ya hata ya nafasi ya 10 ,ilikuwa ibatengeneza nafas clear mbele ya Maguire ,kinachoficha udhaifu niliouona kwa Maguire ni takwimu za hapa na pale ambazo hizo takwimu hata beki mbovu Mustafi au lovren wanazo kuzidi Maguire ,hivo wana manchesta msijipe moyo na matarajio makubwa kwa magwaya .

Kwa Bisaka sina neno ana kila kitu ambacho FB anatakiwa awe nacho, ila Maguire mhhh muda utasema.
 
Kwa muono wangu mdogo, Maguire naona bado sana na mtakuja kumtukana ,mtu pekee ambaye mmepata ni Bisaka , huyu jamaa ana pandisha timu anakaba pia , ila kwakuwa mlishinda 4-0 ,basi Maguire anajificha kwenye takwimu ,ila tukija reality Maguire ni mzito ,hivo akikutana na viberenge au mchezo wa kasi sana ,anapotea ,hili wana man u wengi hamtaki kulisikia ,lakini muda utasema

Niungane na raisi wa Napoli aliyesema thaman ya Maguire ni £30-35m , natoa mech 5 ,mtakuja hapa kutafuta mchawi ni nani

Hebu fikiria Chelsea mbovu hii isiyo na matumain ya hata ya nafasi ya 10 ,ilikuwa ibatengeneza nafas clear mbele ya Maguire ,kinachoficha udhaifu niliouona kwa Maguire ni takwimu za hapa na pale ambazo hizo takwimu hata beki mbovu Mustafi au lovren wanazo kuzidi Maguire ,hivo wana manchesta msijipe moyo na matarajio makubwa kwa magwaya .

Kwa Bisaka sina neno ana kila kitu ambacho FB anatakiwa awe nacho, ila Maguire mhhh muda utasema.
Una ujuzi na uzoefu gani hadi tukusadiki?
 
Bwana Detective juzi hauna mpira wowote man u walicheza ..Sema wale madogo wetu hawakuwa makini ukicheki ni mechi kubwa wameanza nayo ..ila tunajua hii manure aifikishi mechi kumi tutatafutana apa nan mchawi..

Rashid na Masho sio wachezaji wa kuleta chochote kitu apo OT..
Jidanganye
 
kama nitakua sahihi mara ya mwisho kwa timu yetu kucheza dakika 90 bila ya kuruhusu goli ilikuwa ni mwezi februari hivyo basi kitendo cha kumaliza dakika 90 bila ya kufungwa goli haijalishi tunacheza na mbeya city kiupande wangu pia ni matokeo yalionifurahisha sana.

kivyovyote matokeo yale pia yamechangiwa kiupande fulani na mabadiliko tulioyafanya kwenye safu yetu ya ulinzi (ujio wa maguire na bissaka) kwa asilimia 50 bila ya kusahau ubora ule tuliouzoea kuushuhudia machoni mwetu mara kwa mara kutoka kwa david degea ambao msimu uliopita hatukuweza kuushuhudia

daniel james pia anaonekana yupo vizuri kiupande fulani na pengine inatokanwa zaidi na zawadi aliyopewa na muumba ya kujaaliwa speed and acceleration anapokuwa na mpira na hata asipokuwa na mpira, pace yake iliwapa tabu sana japo kwa muda mfupi mabeki wa chelsea jambo lililopelekea mlinzi mmoja apewe kadi ya njano, kikubwa anachopaswa kukifanyia kazi ni utulivu ili afikie level za gareth bale, kama ataendelea kukosa utulivu mwisho wa siku atajikuta anafuata nyayo za aron lennon, wright phillips au theo walcott.



jambo kubwa linalonifanya nisifurahishwe sana na hali iliopo sasa (kuendelea kuwa na msimamo) kwenye klabu yetu ni ikitendo cha klabu kuipoteza nafasi adhimu ya kujenga timu imara kwa kutumia dirisha moja tu la usajili kama wanavyofanya au walivyowahi kufanya baadhi ya wapinzani wetu (rejea usajili wa man city miaka miwili iliopita, liverpool mwaka uliopita, usajili wa spurs na real madrid msimu huu)

hata ukizisoma comment za wadau wengi humu ndani hata wale wanaosifia kiwango hicho kizuri tulichokionyesha kama inavyosemwa kwenye mechi ya chelsea pia utagundua ya kwamba wengi wao baadae wanarudi tena maeneo yale yale tunayoyalalamikia tokea msimu uliopita si ajabu utakuta mchangiaji ana andika:

midfield bado ipo ovyo inahitaji mabadiliko
bado hatupo vizuri kwenye eneo la umaliziaji kwani tunakosa utulivu tukifika mbele (clinicalness)
tunakosa kiungo wa kuongeza wigo wa ubunifu kama alionao pogba
bado hatupo vizuri eneo la kiungo ukabaji tunaruhusu ovyo
luke shaw anampa kazi kubwa sana maguire ya kumlinda n.k​

ukiangalia kwa umakini matatizo mengi yanayoelezwa unajifunza ya kwamba kumbe kunahitajika jitihada kubwa sana kupitia benchi la ufundi pamoja na wachezaji wenyewe kuyatatua jambo ambalo si rahisi kuyatatua na kama ingelikuwa ni rahisi basi yangelikwisha tatuliwa tokea msimu uliopita alioanza kazi OGS au tokea mwezi uliopita (yalipoanza mazoezi na preseason) ndio maana naendelea kuwa na msimamo wa kuamini ya kwamba njia pekee ya kutatua baadhi ya matatizo hayo ni kufanya usajili ambao kwa makusudi tumeupotezea.

  • ninavyoamini mimi ni rahisi kumsajili bruno fernandez kwa dau kubwa baadae ukamsubiri ayazoee mazingira ya uingereza kuliko kuendelea kumsubiri andreas perreira abadilishe kiwango chake cha uchezaji mpaka kuwa na kiwango kinachokaribiana na bruno fernandez
  • ninavyoamini mimi ni rahisi kumsajili kiungo mfano wa james madison kwa dau kubwa baadae ukamsubiri aizoee style ya uchezaji ya klabu yetu kuliko kuendelea kumsubiri jesse lingard abadilishe style yake ya uchezaji ya kutoka kiungo asiyetengeneza nafasi ya goli mpaka kuwa kiungo anayetengeneza angalau nafasi 50 za magoli kwa msimu ukilinganisha na nafasi 100 alizotengeneza james maddison msimu uliopita akiwa na leicester city. Kama tungelifanikisha mfano wa target mbili hizi basi tungelikuwa na jeuri ya kucheza na timu kubwa yeyote duniani.​


halafu mkuu situations iliopo chelsea msimu huu ndio inayopelekea baadhi yetu tuamini ya kwamba chelsea si kipimo tosha cha kuifanyia tathimini klabu yetu kiubora. Naamini laiti kama chelsea wangelipata nafasi hii adhimu ya kusajili wachezaji kwenye dirisha lililoisha basi wangelifanya mabadiliko makubwa sana ya wachezaji kuliko tulivyofanya sisi kufuatia kuondoka kwa wachezaji wao muhimu mfano hazard, morata, david luiz, majeruhi ya wachezaji, bila ya kusahau kuondoka kwa gary cahill aliyemaliza mkataba wake.


nimeanza kuwa na majonzi kwa yale ninayoyashuhudia kwenye hii thread kuanzia siku chache zilizopita, nimeanza kunusa harufu ya kulazimisha uwepo wa mijadala inayofanana na ndege aina ya kasuku, ndege huyu inasemekana amejaaliwa uwezo wa kuweza kunukuu yale yanayozungumzwa na wengineo bila ya kuyafanyia tafakari ya kina, kwa sisi binadamu kuiga tabia hiyo tutakuwa tunabomoa na si kujenga endapo tutalazimisha sote tuwe na mawazo sawa humu ndani.

Naomba hii tabia ya ukasuku ibaki kule kwenye jukwaa la siasa na si humu ndani, jukwaa la siasa ndio utakutana na mpenzi wa chadema kwa zuri na baya vile vile utakutana na mshabiki wa ccm kwa zuri na baya lenye athari kwa wenzake.
GGMU
Najiuliza mpaka sasa.

Kama waliweza kusajili mabeki, walishindwa vipi kusajili viungo?

Joao Felix na Bruno Fernandez ilikuwa addition bora kabisa pale O.T.

Mzigo wote wa kiungo unamuangukia Pogba.

Kiungo kikifa, lawama zote kwa Pogba. Mambo yakiwa fresh, shangwe kwa McTomminay.

Hii timu ina fustrate sana.
 
Najiuliza mpaka sasa.

Kama waliweza kusajili mabeki, walishindwa vipi kusajili viungo?

Joao Felix na Bruno Fernandez ilikuwa addition bora kabisa pale O.T.

Mzigo wote wa kiungo unamuangukia Pogba.

Kiungo kikifa, lawama zote kwa Pogba. Mambo yakiwa fresh, shangwe kwa McTomminay.

Hii timu ina fustrate sana.
Unatakiwa ujue kuwa ili usajili ukamilike. Is not about money tu.. mchezaji na yeye itabidi aridhie binafsi.
J.felix alikataa kabisa kuja man u yeye kama yeye. Team haiwez kumlazimisha.

Halaf kuna tabia ya wachezaj na timu zao kuona man u ni kama sehem ya kutajirika. Yaan wanapiga bei kubwa. Mambo ni mengi na usajili si mrahis kihivyo.
 
Back
Top Bottom