1095DED3-83DD-413F-A700-4528D7F86ACC.gif
 
Mkuu naona upo upande wa MSIMAMO, jaribu kuwa flexible kwa kuangalia uhalisia

Sijui kwanini leo ghafla Chelsea imeonekana ni kipimo kinachotudanganya

Hivi ni kweli Chelsea ni wabovu kiasi hicho

Tulishinda mechi zote za Australia, watu wa kasema is just preseason, tukashinda dhidi ya Inter kisha Spurs ikaonekana is just pre season. Jana tumempiga Chelsea inaonekana ni timu dhaifu

City kashinda preason haijaonekana kama is just pre season, kampiga Westham haijaonekana kwamba ile ni timu dhaifu. Liverpool kampiga mpanda daraja imeonekana ni kwa sababu ya ubora wa Liverpool na si kwa sababu ya udhaifu wa Norwich City

Nadhani tatizo lililopo ni kwamba hatujaridhika na mwenendo wa timu yetu ikiwemo na usajili wake, na tumeonesha kuwa hatujaridhika. Sasa matokeo yakitu prove wrong, tunabaki kuwa na MSIMAMO ili MSIMAMO wetu wa mwanzo uonekane ulikuwa sahihi

Ni ukweli usiopingika kuwa kwenye midfield tuna mapungufu, Pogba asipocheza hali itakuwa mbaya zaidi. Lakini ni ukweli mchungu kwa baadhi yetu kuwa United wame improve ukilinganisha na last season

Timu inaanzia kujengwa kuanzia nyuma, kwa sasa nyuma kuna uimara zaidi. Ukiondoa kwa Luke Shaw, sioni shida eneo lingine upande wa nyuma

Ukweli mwingine ni kwamba, mwaka huu ni ngumu kupambana na City na Liverpool kwenye vikombe, lakini waliobaki tunaweza kupambana nao vizuri tu
Hata City we can km vijana watajivika mabomu
 
Mkuu naona upo upande wa MSIMAMO, jaribu kuwa flexible kwa kuangalia uhalisia

Sijui kwanini leo ghafla Chelsea imeonekana ni kipimo kinachotudanganya

Hivi ni kweli Chelsea ni wabovu kiasi hicho

Tulishinda mechi zote za Australia, watu wa kasema is just preseason, tukashinda dhidi ya Inter kisha Spurs ikaonekana is just pre season. Jana tumempiga Chelsea inaonekana ni timu dhaifu

City kashinda preason haijaonekana kama is just pre season, kampiga Westham haijaonekana kwamba ile ni timu dhaifu. Liverpool kampiga mpanda daraja imeonekana ni kwa sababu ya ubora wa Liverpool na si kwa sababu ya udhaifu wa Norwich City

Nadhani tatizo lililopo ni kwamba hatujaridhika na mwenendo wa timu yetu ikiwemo na usajili wake, na tumeonesha kuwa hatujaridhika. Sasa matokeo yakitu prove wrong, tunabaki kuwa na MSIMAMO ili MSIMAMO wetu wa mwanzo uonekane ulikuwa sahihi

Ni ukweli usiopingika kuwa kwenye midfield tuna mapungufu, Pogba asipocheza hali itakuwa mbaya zaidi. Lakini ni ukweli mchungu kwa baadhi yetu kuwa United wame improve ukilinganisha na last season

Timu inaanzia kujengwa kuanzia nyuma, kwa sasa nyuma kuna uimara zaidi. Ukiondoa kwa Luke Shaw, sioni shida eneo lingine upande wa nyuma

Ukweli mwingine ni kwamba, mwaka huu ni ngumu kupambana na City na Liverpool kwenye vikombe, lakini waliobaki tunaweza kupambana nao vizuri tu
Mimi,under the assumptions kwamba Liverpool wana options chache sana za kuselect team wako vulnerable sana kwa injuries, unless wa adopt a rotating squad kuwiden options zao, basi wanapigika kirahisi sana.

Hapa siangalii team vs team, naiangalia Team VS league (s).
 
Mimi,under the assumptions kwamba Liverpool wana options chache sana za kuselect team wako vulnerable sana kwa injuries, unless wa adopt a rotating squad kuwiden options zao, basi wanapigika kirahisi sana.

Hapa siangalii team vs team, naiangalia Team VS league (s).
Wanapigika kirrahisi anyway Muda bado upo TUTAKUTANA TU.
 
kiupande fulani bado tupo ovyo kwenye umiliki wa mpira na hili si tatizo la mchezaji mmoja mmoja bali nusu ya kundi la wachezaji wanaounda timu yetu, hata ukiangalia safu yetu ya ushambuliaji bado wana ugonjwa ule ule wa kushindwa kufanya maamuzi ya haraka pindi tunaposhambulia (si ajabu kumkuta martial au rashford anapiga chenga eneo analopaswa kutoa pasi).
jana tulicheza na timu ambayo haikuwa na uwezo wa kufika kwenye eneo letu la hatari mara kwa mara ndio maana defence yetu ilionekana kuwa vizuri lakini kuna siku tutakutana na timu zinazomiliki mpira na kufika kwenye eneo la adui kwa speed kubwa ndipo tutakapofahamu zaidi uwezo wetu kama umeimarika au kinyume chake (si mbaya tumerekebisha defences ila tumeshindwa kuimprove eneo la midfields)

karma is bitch.
kilichomkuta jana tammy abraham na mason mount kuna siku kitamkuta greenwood na crew yake, ndio maana nitaendelea kusimamia msimamo wangu ule ule wa kupinga kuwabebesha majukumu makubwa sana chipukizi kwenye kundi la wachezaji vilaza.

GGMU
Mimi nitaanza kuona mwelekeo wa timu baada ya mechi tano.

Kwa sasa naiona Man united ileile ambayo kama inashinda basi inashinda kwa udhaifu wa timu inayocheza nayo siyo kwa ubora wa Man united yenyewe.

Kiungo chetu cha ukabaji bado kinakaba kwa macho na kiungo cha ushambuliaji kinapoteza mipira na kuipoteza build up ya mashambulizi, kama man of the match ni central defender basi sisi ndiyo tulioshambuliwa zaidi kuliko wenzetu. Kama Chelsea ingekuwa na wachezaji waliokomaa walau wawili kule mbele kuanzia first half huenda matokeo yasingekuwa hivi.

Ni imani yangu tutaendelea kuimprove kadri ligi inavyoendelea.
 
Yes tammy. Ndio main striker.. mason mount ataanzia bench. Yes chelsea hawana namba 10 wa kumtegemea. Since hazard aondoke.. hawana wa kuziba pengo so wataendelea kuchezesha madogo.

Rushford akiumia yes greenwopd atawekwa mbele lakin nyuma yake kukiwa na experienced player.

Chelsea safu ya ushambuliaj experienced player ni pedro tu. Waliobaki ni watoto.. unadhani watakuwa effective ? Nope.
Usimsahau willian
 
Mimi nitaanza kuona mwelekeo wa timu baada ya mechi tano.

Kwa sasa naiona Man united ileile ambayo kama inashinda basi inashinda kwa udhaifu wa timu inayocheza nayo siyo kwa ubora wa Man united yenyewe.

Kiungo chetu cha ukabaji bado kinakaba kwa macho na kiungo cha ushambuliaji kinapoteza mipira na kuipoteza build up ya mashambulizi, kama man of the match ni central defender basi sisi ndiyo tulioshambuliwa zaidi kuliko wenzetu. Kama Chelsea ingekuwa na wachezaji waliokomaa walau wawili kule mbele kuanzia first half huenda matokeo yasingekuwa hivi.

Ni imani yangu tutaendelea kuimprove kadri ligi inavyoendelea.
Usitegemee kushambuliwa sana kama uko fierce kwenye counter attacks.
 
Man city wao huwa hawajali wewe unashambulia au umewasubiri wao wanashambulia tu hata kama uko smart kiasi gani kwenye counter attack
That is a complete team.na forward line yao huwalazimisha mabeki kufikiria namna moja tu, kudefend. Sababu ukitaka kufanya counter attack ni lazima uwe na mabeki wenye uwezo wa kufikiria na kufanya maamuzi kwa haraka wanapokaba na wanapopokonya mpira.

Team inayocheza counter attack mabeki hawawezi kuwa wabutuaji, wanalazimika kupokonya mpira na kutoa pasi moja au mbili na moja wao inabidi iwe potential assist.
 
Back
Top Bottom