Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We are buying Ashley Young Vol 2.
View attachment 1131931
He is shitMuda hakimu kwa sasa kuwe na akiba ya maneno
He is shit
Toa recommendation zako kwenye hiyo nafasiWe are buying Ashley Young Vol 2.
View attachment 1131931
Haha hata Ashley Young ana afadhali kidogoWe are buying Ashley Young Vol 2.
View attachment 1131931
Meunier, cancelo, sandro even PereiraToa recommendation zako kwenye hiyo nafasi
Haha hata Ashley Young ana afadhali kidogo
Kazi ya beki kulinda ya pili hasa kwa beki za pembeni ni kulisha washambuliaji kutokea pembeni
Sasa hapo Ktk stats Ashley ana goli mbili halafu dogo ana 0 angalia tofauti hiyo kama ni significant sana
Ukija katika stats za tackles Wan Bissaka kama sio top 5 basi top 10 hakosi
Kitu kingine umri, Wan Bissaka ana miaka 21 wakati Young ameshafikisha umri ambao wastaarabu huwa wanastaafu
Nafikiri Modern football fullbacks ni mshambuliaji wa pembeni tu.
Hivyo anatakiwa kuwa aggressive sana kwenye attacking.
Wana Bissaka anatoka katika timu ya Crystal palace ambayo game nyingi inacheza kwa kujilinda zaidi hivyo kuona tackles nyingi hivyo kwake siyo jambo la kushangaza kwani all the time team inajilinda.
Nafikiri Modern football fullbacks ni mshambuliaji wa pembeni tu.
Hivyo anatakiwa kuwa aggressive sana kwenye attacking.
Wana Bissaka anatoka katika timu ya Crystal palace ambayo game nyingi inacheza kwa kujilinda zaidi hivyo kuona tackles nyingi hivyo kwake siyo jambo la kushangaza kwani all the time team inajilinda.
HahahahahahahahahhahahahahahahahahWe are buying Ashley Young Vol 2.
View attachment 1131931
HahahahahahahahahahahahaNa hatakuja???? Unaongea hivi ukiwa kama nani pale Manchester United CEO,Owners au Ukiwa kwenye Technical bench au wewe ni Scouting wa United..........Mtu unaishi Uvinza unataka kujifanya wewe ndio Ed Woodward sasa
huyo wan bissaka mbovu kwelii jana kwenye mechi ya euro under 21 dhidi ya france ametoa boko za kutosha na akajifunga dakika za mwishoWe are buying Ashley Young Vol 2.
View attachment 1131931
Sijui wanalilia nn united kutoka kwake....ana ubovu mzuri sana labda ndy wanataka kuununua huo ubovuhuyo wan bissaka mbovu kwelii jana kwenye mechi ya euro under 21 dhidi ya france ametoa boko za kutosha na akajifunga dakika za mwisho
Badala ya kununua complete na experienced player kama Munier wanatafuta toto la malkia jingine.Sijui wanalilia nn united kutoka kwake....ana ubovu mzuri sana labda ndy wanataka kuununua huo ubovu