Mata, miaka 2 zaidi United
skysports___By5bbkMgspx___.jpeg
 
Haha hata Ashley Young ana afadhali kidogo

Kazi ya beki kulinda ya pili hasa kwa beki za pembeni ni kulisha washambuliaji kutokea pembeni

Sasa hapo Ktk stats Ashley ana goli mbili halafu dogo ana 0 angalia tofauti hiyo kama ni significant sana

Ukija katika stats za tackles Wan Bissaka kama sio top 5 basi top 10 hakosi

Kitu kingine umri, Wan Bissaka ana miaka 21 wakati Young ameshafikisha umri ambao wastaarabu huwa wanastaafu
 
Nafikiri Modern football fullbacks ni mshambuliaji wa pembeni tu.
Hivyo anatakiwa kuwa aggressive sana kwenye attacking.

Wana Bissaka anatoka katika timu ya Crystal palace ambayo game nyingi inacheza kwa kujilinda zaidi hivyo kuona tackles nyingi hivyo kwake siyo jambo la kushangaza kwani all the time team inajilinda.
Kazi ya beki kulinda ya pili hasa kwa beki za pembeni ni kulisha washambuliaji kutokea pembeni

Sasa hapo Ktk stats Ashley ana goli mbili halafu dogo ana 0 angalia tofauti hiyo kama ni significant sana

Ukija katika stats za tackles Wan Bissaka kama sio top 5 basi top 10 hakosi

Kitu kingine umri, Wan Bissaka ana miaka 21 wakati Young ameshafikisha umri ambao wastaarabu huwa wanastaafu
 
Nafikiri Modern football fullbacks ni mshambuliaji wa pembeni tu.
Hivyo anatakiwa kuwa aggressive sana kwenye attacking.

Wana Bissaka anatoka katika timu ya Crystal palace ambayo game nyingi inacheza kwa kujilinda zaidi hivyo kuona tackles nyingi hivyo kwake siyo jambo la kushangaza kwani all the time team inajilinda.


Wan Bissaka umeangalia mechi ngapi mkuu?

modern football kwamba fullback ajue kushambulia tu? Yule Santiago Solari unadhani alikosea kumpiga benchi Marcelo na kumchagua Reguilon?
 
Nafikiri Modern football fullbacks ni mshambuliaji wa pembeni tu.
Hivyo anatakiwa kuwa aggressive sana kwenye attacking.

Wana Bissaka anatoka katika timu ya Crystal palace ambayo game nyingi inacheza kwa kujilinda zaidi hivyo kuona tackles nyingi hivyo kwake siyo jambo la kushangaza kwani all the time team inajilinda.


Na kitu kingine ni kwamba Fullback akiwa sio defender mzuri tatizo linakuja kwa mabeki wa kati(CB's) watapata mzigo sana. Holding midfielder na fullbacks wakiwa hawajui kukaba ni janga, CB's watakuwa na kazi ya ziada kama sio kupigwa za kutosha
 
Manchester United fans, this is your time. Take back your club that has been used as a cash cow for the greedy Americans.

#GlazersOut
IMG_20190620_072459.jpeg
IMG_20190620_072445.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20190620_072445.jpeg
    IMG_20190620_072445.jpeg
    17.3 KB · Views: 24
167 Reactions
Reply
Back
Top Bottom