Hii ni roho mbaya ya black human , unaanza kufafanua magoli yalifungwaje na takwimu zake za national team .. At his age ni Top scorer at national team ...



Acha roho mbaya mzee ..
Magoli ya Lukaku Belgium mostly ni mepesi sana na ya kawaida sana ambayo Eliud Ambokile hawezi kukosa
 
Hapo ndio ninachoka, eti Wan Bissaka anamzidi Concelo

Waingereza bana, ila kinachotajwa kuwapandisha thamani wachezaji wa EPL raia wa kiingereza ni uwezo wa kifedha wa timu hizo (hawana njaa) kutokana na wadhamini waliopo, hivyo hawana presha ya kuuza

Kingine ni Brexit, hii inatajwa kuja kuathiri sana siku za mbele soko la hawa watoto wa Malikia
Hao wachezaji thamani zao zipo hivyo toka kitambo sidhani kama brexit ina mchango ktk hili. Sababu kubwa ni kwamba unapowachukua hupati shida ya mazoezi ya lugha,wanakuwa wameshazoea ligi yao hakuna Ku cope tena, ni wachezaji wasiokuwa na mtazamo Wa kukimbilia ligi zingine wanatukuza sana ligi yao hivyo siyo rahisi sana kurubuniwa na timu za mataifa mengine na pia waingereza wanaocheza hom wanapewa sana kipaumbele ktk kuteliwa ktk timu ya taifa kwa sababu wao wanaamini wana mpira Wa kiingereza.
 
Ferdinand, Rooney, carrick etc pia walikuwa waingereza ila wakafanya vizuri.

Sasa hivi tunakosa tu ile influence na right people wa kutuongoza.
Hao naona kama walicheza kwenye era nyingine ambapo sasa hivi era yao ni kama haifunction vizuri hivi,manake sahzi ubunifu Mkubwa unahitajika siyo nguvu zaidi pekee.
 
Magoli ya Lukaku Belgium mostly ni mepesi sana na ya kawaida sana ambayo Eliud Ambokile hawezi kukosa
Mkuu hv unajua kufikia striker anafunga goli maana yake amewazidi ujanja mabeki.?.. unaposema magoli mepesi unamaanisha anacheza mwenyewe wala hapewi ulinzi.
Halafu mwisho wa siku ubao unasoma.. Waulize PSG kama watakubaliana wewe.
 
Mwenye ubunifu ambao huko nyuma haukuwepo ni nani kwa hawa wa sasa?
Tofauti kubwa ni kwamba wachezaji Wa sasa hawajitumi kabisa wakati wale Wa nyuma walikuwa na spirit kubwa sana na walikuwa wanatambua thamani ya wao kuvaa badge ya Man U. Hivyo hata wasiovipaji kama kina Jones,smalling n.k walionekana wana uwezo Mkubwa sana
 
Sijui kwa nini pamoja na hayo naona kama watoto Wa dizaini hii hawastahili kuchezea Man U. Tena ukizingatia ni muingereza duu
Mkuu tukubali tu timu yetu kwa sasa haina mafundi wa kujenga vzr hawa young player kuwa wazuri zaidi huko mbele kama enzi za nyuma.
Unapomkataa BISSAKA wakati unataka kujenga timu upya unamtaka nani?.. Carvajal? Tunaweza kumpata?... Unafikiri DALOT anashindikana kuwa mzuri baadae, au tulitaka apaform kuliko WALKER ndio tumkubali.
Bayern wamemchukua PAVARD lakin nakuapia akitua hata leo MAN U utamkataa utasema bora YOUNG.. Tatizo timu haijui kuwajenga wachezaji ,haina subira kama mashabiki wake tulivyo.. Liverpool kuna waingereza wanapaform vzr tu, Chelsea, City n.k . vp huku kwetu kuna nini?
Hata akija Maguire+Toby bila OLE na timu yake kujenga mfumo mzuri wa uchezaji watakuwa flop vibaya sana.
 
Tofauti kubwa ni kwamba wachezaji Wa sasa hawajitumi kabisa wakati wale Wa nyuma walikuwa na spirit kubwa sana na walikuwa wanatambua thamani ya wao kuvaa badge ya Man U. Hivyo hata wasiovipaji kama kina Jones,smalling n.k walionekana wana uwezo Mkubwa sana
Kipaji bila juhudi ni kazi bure mkuu.. na muda mwingine kujituma ndio kunakufanya uonekane ndio uwezo wako.
JOHN EVANS unamrank na nani pale UTD kwa sasa.. Huyu MARTIAL alikitoka hapo utd akaenda let say BVB or EVERTON tutamtaka tena kama tunavyomuwaza ZAHA
Martial hajitumi lakini kuna timu zinakulazimu uwe na mapafu na kujitoa kutokana na makocha wakali na jeuri sio hawa wasio hata na SUB ya mwenye kujiona bora wakati anavurunda
 
Mkuu tukubali tu timu yetu kwa sasa haina mafundi wa kujenga vzr hawa young player kuwa wazuri zaidi huko mbele kama enzi za nyuma.
Unapomkataa BISSAKA wakati unataka kujenga timu upya unamtaka nani?.. Carvajal? Tunaweza kumpata?... Unafikiri DALOT anashindikana kuwa mzuri baadae, au tulitaka apaform kuliko WALKER ndio tumkubali.
Bayern wamemchukua PAVARD lakin nakuapia akitua hata leo MAN U utamkataa utasema bora YOUNG.. Tatizo timu haijui kuwajenga wachezaji ,haina subira kama mashabiki wake tulivyo.. Liverpool kuna waingereza wanapaform vzr tu, Chelsea, City n.k . vp huku kwetu kuna nini?
Hata akija Maguire+Toby bila OLE na timu yake kujenga mfumo mzuri wa uchezaji watakuwa flop vibaya sana.
Hivi huyu Ole afanyeje? Manake wachezaji mwanzoni walisema wananyimwa Uhuru Wa kucheza mana washambuliaji wanaambia waweke bus,akina pogba wakasema wanataka attacking football wanataka wakabiwe tu. Alipofika Ole akasema wachezaji waji express yaani kila mmoja ajitume kwa ajili ya timu lakini aonyeshe uwezo wake pia. Mara mambo yakaanza vema kabla hayajabadilika. Sasa hivi Ole afanyeje? Mi siamini kama ole ana shida labda wachezaji wenyewe. Labda anapotafuta wachezaji awe makini apate wachezaji wenye vipaji na uwezo Wa kupigana siyo uwezo Wa kusukumana tu kama ilivyo kwa wachezaji wengi Wa kiingereza ambao huwa overrated tu. Zaha aweza kuwa ni wale wachezaji wanaostahili kuchezea low profile teams ndio wawe bora.
 
Man u dah! Shit ninasubiri kuona tetesi za kusajili kina Charlie Adams, Maynor Figueroa et cetera. https://jamii.app/JFUserGuide! Ina maana spain, france, germany, Netherlands hawajaona vipaji zaidi ya kukomalia Kina Wan Bissaka.


Hawa madogo waliopo utd tunatakiwa kutengeneza mfumo ambao ukizingua namba hupati na bench hupati kiasi cha kuwapeleka huko on loan. https://jamii.app/JFUserGuide Rashford, Shit Lingard, Damn Pogba, Curse Jonas, and Young bloodfucking son of bitch. Wapewe Job description fala zao
 
mkuu unamzu
Hivi huyu Ole afanyeje? Manake wachezaji mwanzoni walisema wananyimwa Uhuru Wa kucheza mana washambuliaji wanaambia waweke bus,akina pogba wakasema wanataka attacking football wanataka wakabiwe tu. Alipofika Ole akasema wachezaji waji express yaani kila mmoja ajitume kwa ajili ya timu lakini aonyeshe uwezo wake pia. Mara mambo yakaanza vema kabla hayajabadilika. Sasa hivi Ole afanyeje? Mi siamini kama ole ana shida labda wachezaji wenyewe. Labda anapotafuta wachezaji awe makini apate wachezaji wenye vipaji na uwezo Wa kupigana siyo uwezo Wa kusukumana tu kama ilivyo kwa wachezaji wengi Wa kiingereza ambao huwa overrated tu. Zaha aweza kuwa ni wale wachezaji wanaostahili kuchezea low profile teams ndio wawe bora.


mkuu unamzungumzia huyu masai wa counter au ..??


na nisikufiche br kwa jinsi hali ilivyo man u mwakani tukiwa wa 6 ni ushindi kwetu tunaweza kuwa hata nje ya top 10 kama hatutasajili watu wa kueleweka
 
Hivi huyu Ole afanyeje? Manake wachezaji mwanzoni walisema wananyimwa Uhuru Wa kucheza mana washambuliaji wanaambia waweke bus,akina pogba wakasema wanataka attacking football wanataka wakabiwe tu. Alipofika Ole akasema wachezaji waji express yaani kila mmoja ajitume kwa ajili ya timu lakini aonyeshe uwezo wake pia. Mara mambo yakaanza vema kabla hayajabadilika. Sasa hivi Ole afanyeje? Mi siamini kama ole ana shida labda wachezaji wenyewe. Labda anapotafuta wachezaji awe makini apate wachezaji wenye vipaji na uwezo Wa kupigana siyo uwezo Wa kusukumana tu kama ilivyo kwa wachezaji wengi Wa kiingereza ambao huwa overrated tu. Zaha aweza kuwa ni wale wachezaji wanaostahili kuchezea low profile teams ndio wawe bora.
Walihitaji kuwa free uwanjani bila kuhofia kukosea na style ya basi iliwauzi wengi.. Kulingana na uwezo wa mmojammoja hawakudumu.
Simlaumu OLE.. Ikiwa KLOP amesota hadi leo timu yake iko hapo, OLE ana kazi ngumu X2 ya Klop.
 
IMG_5554.JPG
 
Back
Top Bottom