Mkuu hivi huyu dogo tunaweza kumwamini aingie direct kwenye first eleven??..
Mpaka sasa namba 7 haina mwenyewe mkuu

Lingard, Mata, Sanchez, Rashford (ambaye naona atacheza zaidi kati) wote hawana uwezo kucheza vizuri namba 7 kama DJ

Martial ni 11, japo dogo kushoto pia DJ ni mtamu

Kwangu naona dogo ana uwezo makubwa, changamoto ni ku cope kucheza United, akitokea championship akikiweza hilo anaweza kuwa zaidi ya Bale (after all Bale sijawahi kumkubali)
 
Mpaka sasa namba 7 haina mwenyewe mkuu

Lingard, Mata, Sanchez, Rashford (ambaye naona atacheza zaidi kati) wote hawana uwezo kucheza vizuri namba 7 kama DJ

Martial ni 11, japo dogo kushoto pia DJ ni mtamu

Kwangu naona dogo ana uwezo makubwa, changamoto ni ku cope kucheza United, akitokea championship akikiweza hilo anaweza kuwa zaidi ya Bale (after all Bale sijawahi kumkubali)


Bale alitisha sana, sijui kama dunia itampata mchezaji anaecheza style ya uchezaji wa Bale

Masikini Majeruhi yalimuweka shimoni The pacy Welsh
 
Mpaka sasa namba 7 haina mwenyewe mkuu

Lingard, Mata, Sanchez, Rashford (ambaye naona atacheza zaidi kati) wote hawana uwezo kucheza vizuri namba 7 kama DJ

Martial ni 11, japo dogo kushoto pia DJ ni mtamu

Kwangu naona dogo ana uwezo makubwa, changamoto ni ku cope kucheza United, akitokea championship akikiweza hilo anaweza kuwa zaidi ya Bale (after all Bale sijawahi kumkubali)
I got you bro..
 
With all these rumours..to be fair Aron Bissaka si wa milioni 40 achilia mbali zaidi ya hapo...he is too overrated..ukabaji wake ni wa kujirusha mzima mzima dakika za mwisho hafu hajui kucross kama Young tu...ila huyu mbadala wanayemzumngumxia Max Aarons wa Norqich..he is too way better than AWB...na anaweza patikana kwa bei ndogo..though shida ninayoiona ..ni kwamba hana tofauti sana na Diogo Dalot...though anapiga cross tamu na kudribble..kwenye defence ni wa kawaida
Nimeicopy sehemu fulani
Epl msimu uliopita
Most clearances:
• Wan-Bissaka (129)

Most tackles won:
• Wan-Bissaka (129)

Highest tackle success rate:
• Wan-Bissaka (94%)

Most take-ons completed:
• Wan-Bissaka (90)

Most interceptions:
• Wan-Bissaka (84)
 
Nimeicopy sehemu fulani
Epl msimu uliopita
Most clearances:
• Wan-Bissaka (129)

Most tackles won:
• Wan-Bissaka (129)

Highest tackle success rate:
• Wan-Bissaka (94%)

Most take-ons completed:
• Wan-Bissaka (90)

Most interceptions:
• Wan-Bissaka (84)
Waingereza wakikuletea stats za Smalling utaahirisha kusajili beki
 
Nimeicopy sehemu fulani
Epl msimu uliopita
Most clearances:
• Wan-Bissaka (129)

Most tackles won:
• Wan-Bissaka (129)

Highest tackle success rate:
• Wan-Bissaka (94%)

Most take-ons completed:
• Wan-Bissaka (90)

Most interceptions:
• Wan-Bissaka (84)

Hapa brother umepigwa changa live...

Wan-Bissaka haongozi kwa stats yoyote kwa msimu uliomalizika!

Screenshot_20190613-062053.png


Screenshot_20190613-062025.png
 
Nimeicopy sehemu fulani
Epl msimu uliopita
Most clearances:
• Wan-Bissaka (129)

Most tackles won:
• Wan-Bissaka (129)

Highest tackle success rate:
• Wan-Bissaka (94%)

Most take-ons completed:
• Wan-Bissaka (90)

Most interceptions:
• Wan-Bissaka (84)
Dogo ana stats nzuri sana defensively

Lakini sio mzuri offensively, na fullbacks wa kileo lazima pia wawe wana contribute going forward
 
Katupia 2 ndio ila hakuna lolote...moja la rebounding....tena kashtukiza tyr ndani....hujaona ile pas aliyopewa na kevin na ilikua ya kufunga matokeo yake kakosa..badala ya kufunga kaleta ujuaji, kajichanganya na mpira ukarudi.....lukaku hakuna kitu..shida statistics za N.team zikiletwa kwenye club na hatuzion zikitokea, walakin lazima uwepo...bolingoli lukaku ni kisu kibutu
Hii ni roho mbaya ya black human , unaanza kufafanua magoli yalifungwaje na takwimu zake za national team .. At his age ni Top scorer at national team ...



Acha roho mbaya mzee ..
 
Back
Top Bottom