sijui nizitafute zile comment zangu nilizoandika humu ndani kuhusiana na hii ishu lakini itanichukua siku nzima kuziona zile comment.

jamani uvumi wa leo ndio huu, kama tunavyofahamu si kila uvumi una ukweli ndani yake lakini pia si kila uvumi una uongo ndani yake. kwenye hii habari nataka nikae upande wa ukweli kwa sababu dalili zimeshaonyesha tokea zamani kuwa bwana mkubwa hana mpango kwa dirisha hili kumtafuta mwanadamu atakayemkalia juu kimawazo, na hii ishu tumeshaijadili humu ndani kabla ya ole gunnar solskjaer hajapewa kandarasi mpya, wapo walioamini na wapo waliokaa upande wa bwana ed woodward.

Manchester United are not expected to appoint a Sporting or Technical Director this summer. Ed Woodward will remain in charge of transfers. Ed Woodward has failed to identify a No.1 candidate‬ for the job. [mail]

Ole Gunnar Solskjaer and assistant Mike Phelan will be involved in transfer dealings, alongside Woodward and head of corporate affairs Matt Judge. [mirror]

yule member aliyesema ole gunnar solskjaer atasajili target zake kabla ya preseason haijaanza yuko wapi, nina zawadi yake nimemuandalia bila ya kusahau leo ni tarehe 12/06.
View attachment 1125114
pichani ed woodward akiwa na msomi mwenzake wa masula ya fedha bwana matt judge. Huyu matt judge ndiye negotiator mkuu wa klabu kwenye ishu za mikataba ya wachezaji na mambo mengine.

ukisikia luke shaw anayetoka kwenye majeruhi amepewa kandarasi ya paundi laki mbili kwa wiki jamaa huyu naye anahusika.
ukisikia fred amesajiliwa kwa paundi millioni 50 ujue jamaa amehusika
uksiikia wan bissaka anataka kusajiliwa kwa paundi millioni 60 na mkataba wa paundi laki moja na nusu ujue jamaa huyu anahusika pia.
ukisikia mjinga martial amesaini mkataba wa paundi laki mbili kwa wiki ujue ya kwamba jamaa huyu anahusika pia.

unabaki kujiuliza hawa watu wawili na wengineo walikwenda kusomea ujinga huko shuleni, au walitolewa kwenye maisha ya mavumbi kama professor yule wa harvard university.
Tanayzer ulitaka kibarua apewe nani vileee?
Mc cane una cha kuongeza nilisikia ulikuwa unampigia kampeni darren fletcher apewe nafasi?.

ndani ya mwezi mmoja takribani wachezaji 65 wamevumishiwa kutakiwa man utd
kutoka december mpaka muda huu takribani wanadamu 30 wameshavumishiwa kuajiriwa nafasi ya technical director.
this is manchester united katika ubora wetu.

nimalizie na interview ndogo ya bwana louis van gaal.

What is the problem at Manchester United now?
The problem begins with, of course, that Manchester United was never refreshed. I think when you are a manager you have to refresh every year to keep the team-building process going.

You brought in players. You tried to refresh.
Yes, but I didn’t always get the players that I want. That’s the problem. There is Woodward and his right hand is [head of corporate development] Matt Judge. Judge I met once in a while but not too much. And there was the head of scouting. That was the structure but you are always dependent on Woodward and Judge.

Did they not take your advice?

I thought always Manchester United can buy every player because they have a lot of power. Seemingly a few players were not reachable for Manchester United. I cannot understand but it was like that.

Ángel Di María, was he your choice?
Di María was my choice at AZ, seven years before.:D:D:D

He didn’t sign then . Did you want him for United? Were you happy that he came?
I was satisfied because he was a creative player, but I had other players on the list. Di María had a problem with the English football culture and the climate. You cannot buy players and know, for sure, that they can deliver. You cannot know because football is a team sport.

You said you don’t understand why United have a lot of money and won’t always pay for players. Is that because the Glazers didn’t want to pay?
I don’t know. Woodward is the one who talks with the Glazers. I only talked with the Glazers when they were [attending] a game or training session. Mostly they attend top matches and fortunately, we won a lot of these top matches, in any case against Liverpool.
Woodward amekuwa kama jambazi kuu sasa.
 
Fergie amechukua uefa 2, chelsea mna ngapi?.. arsenal je?.. Bado alibebwa na huko?
Giggs peke yake ana EPL 12 .. ndani ya uongozi wa SIR ALEX timu kama Chelsea, Arsenal na City walibeba EPL, Je Liverpool tu ndio marefa walikuwa wanawaonea miaka 30 bila kitu.
Au we Yanga mkuu?
Mechi nyingi za Man united walishinda kwa mbeleko za marefa mkuu. Mzee Fargie aliteka mioyo yao... na sasa hayupo. Ni kama ninyi fans wa manure, wengi munashabikia Juve kwa sababu ya Cr7, madirid mumeikacha..
 
United tukiwa na Daniel James aliyecheza dhidi ya Croatia na Hungary tutamfaidi sana

Bolingoli jana dhidi ya Scotland katupia mawili

Kuna watu wanaendelea kulalimikia first touch zake
Katupia 2 ndio ila hakuna lolote...moja la rebounding....tena kashtukiza tyr ndani....hujaona ile pas aliyopewa na kevin na ilikua ya kufunga matokeo yake kakosa..badala ya kufunga kaleta ujuaji, kajichanganya na mpira ukarudi.....lukaku hakuna kitu..shida statistics za N.team zikiletwa kwenye club na hatuzion zikitokea, walakin lazima uwepo...bolingoli lukaku ni kisu kibutu
 
Katupia 2 ndio ila hakuna lolote...moja la rebounding....tena kashtukiza tyr ndani....hujaona ile pas aliyopewa na kevin na ilikua ya kufunga matokeo yake kakosa..badala ya kufunga kaleta ujuaji, kajichanganya na mpira ukarudi.....lukaku hakuna kitu..shida statistics za N.team zikiletwa kwenye club na hatuzion zikitokea, walakin lazima uwepo...bolingoli lukaku ni kisu kibutu
Magoli ya kugongwa na mpira akifunga Pipo Inzagi au Chicharito utasikia, jamaa anajua kuji position kweli...... Lakini kwa kuwa ni Lukaku utasikia kabahatisha

Hivi hujiulizi kwanini pale United hagongani nazo?

Pogba asipocheza vizuri, utasikia tatizo hazungukwi na wachezaji watakaomfanya ang'are, lakini hizi stori huwa sizisikii kwa Lukaku

Mwisho wa siku kukosea mchezaji huwa ni jambo la kawaida, cha msingi makosa yasiwe mengi.

Aguero mwenyewe mechi ya Chelsea alikosa goli la wazi yeye na goli (sio kipa) kwenye ile mechi City aliyompiga Chelsea 6. Huyo Rashford mwenyewe ambaye eti ndio anaaminiwa kuliko Lukaku one on one amekosa za kutosha

Ngoja aondoke, aletwe sijui Icard tuone nini kitatokea
 
With all these rumours..to be fair Aron Bissaka si wa milioni 40 achilia mbali zaidi ya hapo...he is too overrated..ukabaji wake ni wa kujirusha mzima mzima dakika za mwisho hafu hajui kucross kama Young tu...ila huyu mbadala wanayemzumngumxia Max Aarons wa Norqich..he is too way better than AWB...na anaweza patikana kwa bei ndogo..though shida ninayoiona ..ni kwamba hana tofauti sana na Diogo Dalot...though anapiga cross tamu na kudribble..kwenye defence ni wa kawaida
 
sijui nizitafute zile comment zangu nilizoandika humu ndani kuhusiana na hii ishu lakini itanichukua siku nzima kuziona zile comment.

jamani uvumi wa leo ndio huu, kama tunavyofahamu si kila uvumi una ukweli ndani yake lakini pia si kila uvumi una uongo ndani yake. kwenye hii habari nataka nikae upande wa ukweli kwa sababu dalili zimeshaonyesha tokea zamani kuwa bwana mkubwa hana mpango kwa dirisha hili kumtafuta mwanadamu atakayemkalia juu kimawazo, na hii ishu tumeshaijadili humu ndani kabla ya ole gunnar solskjaer hajapewa kandarasi mpya, wapo walioamini na wapo waliokaa upande wa bwana ed woodward.

Manchester United are not expected to appoint a Sporting or Technical Director this summer. Ed Woodward will remain in charge of transfers. Ed Woodward has failed to identify a No.1 candidate‬ for the job. [mail]

Ole Gunnar Solskjaer and assistant Mike Phelan will be involved in transfer dealings, alongside Woodward and head of corporate affairs Matt Judge. [mirror]

yule member aliyesema ole gunnar solskjaer atasajili target zake kabla ya preseason haijaanza yuko wapi, nina zawadi yake nimemuandalia bila ya kusahau leo ni tarehe 12/06.
View attachment 1125114
pichani ed woodward akiwa na msomi mwenzake wa masula ya fedha bwana matt judge. Huyu matt judge ndiye negotiator mkuu wa klabu kwenye ishu za mikataba ya wachezaji na mambo mengine.

ukisikia luke shaw anayetoka kwenye majeruhi amepewa kandarasi ya paundi laki mbili kwa wiki jamaa huyu naye anahusika.
ukisikia fred amesajiliwa kwa paundi millioni 50 ujue jamaa amehusika
uksiikia wan bissaka anataka kusajiliwa kwa paundi millioni 60 na mkataba wa paundi laki moja na nusu ujue jamaa huyu anahusika pia.
ukisikia mjinga martial amesaini mkataba wa paundi laki mbili kwa wiki ujue ya kwamba jamaa huyu anahusika pia.

unabaki kujiuliza hawa watu wawili na wengineo walikwenda kusomea ujinga huko shuleni, au walitolewa kwenye maisha ya mavumbi kama professor yule wa harvard university.
Tanayzer ulitaka kibarua apewe nani vileee?
Mc cane una cha kuongeza nilisikia ulikuwa unampigia kampeni darren fletcher apewe nafasi?.

ndani ya mwezi mmoja takribani wachezaji 65 wamevumishiwa kutakiwa man utd
kutoka december mpaka muda huu takribani wanadamu 30 wameshavumishiwa kuajiriwa nafasi ya technical director.
this is manchester united katika ubora wetu.

nimalizie na interview ndogo ya bwana louis van gaal.

What is the problem at Manchester United now?
The problem begins with, of course, that Manchester United was never refreshed. I think when you are a manager you have to refresh every year to keep the team-building process going.

You brought in players. You tried to refresh.
Yes, but I didn’t always get the players that I want. That’s the problem. There is Woodward and his right hand is [head of corporate development] Matt Judge. Judge I met once in a while but not too much. And there was the head of scouting. That was the structure but you are always dependent on Woodward and Judge.

Did they not take your advice?

I thought always Manchester United can buy every player because they have a lot of power. Seemingly a few players were not reachable for Manchester United. I cannot understand but it was like that.

Ángel Di María, was he your choice?
Di María was my choice at AZ, seven years before.:D:D:D

He didn’t sign then . Did you want him for United? Were you happy that he came?
I was satisfied because he was a creative player, but I had other players on the list. Di María had a problem with the English football culture and the climate. You cannot buy players and know, for sure, that they can deliver. You cannot know because football is a team sport.

You said you don’t understand why United have a lot of money and won’t always pay for players. Is that because the Glazers didn’t want to pay?
I don’t know. Woodward is the one who talks with the Glazers. I only talked with the Glazers when they were [attending] a game or training session. Mostly they attend top matches and fortunately, we won a lot of these top matches, in any case against Liverpool.
Man Utd ikimaliza ya 25 ndo Management itaamka na kufanya lililotakiwa kufanyika siku nyingi tu.
 
Magoli ya kugongwa na mpira akifunga Pipo Inzagi au Chicharito utasikia, jamaa anajua kuji position kweli...... Lakini kwa kuwa ni Lukaku utasikia kabahatisha

Hivi hujiulizi kwanini pale United hagongani nazo?

Pogba asipocheza vizuri, utasikia tatizo hazungukwi na wachezaji watakaomfanya ang'are, lakini hizi stori huwa sizisikii kwa Lukaku

Mwisho wa siku kukosea mchezaji huwa ni jambo la kawaida, cha msingi makosa yasiwe mengi.

Aguero mwenyewe mechi ya Chelsea alikosa goli la wazi yeye na goli (sio kipa) kwenye ile mechi City aliyompiga Chelsea 6. Huyo Rashford mwenyewe ambaye eti ndio anaaminiwa kuliko Lukaku one on one amekosa za kutosha

Ngoja aondoke, aletwe sijui Icard tuone nini kitatokea
First touch hazina maana kwa poacher kama Van Nesterlooy au Chicharito.

First touch ni za muhimu kwa kina Messi wana dribble uwanja mzima.

As long as mchezaji anafunga magoli hata kwa tumbo sijali kuhusu first wala second wala third touch.
 
DJ
IMG_20190612_192254_049.jpeg
 
Back
Top Bottom