Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,489
- 30,524
Haiwezekani maana Phil Jones na Smalling wamepewa mikataba mipya tena ya four years eachWaingereza watamfukuzisha kazi Ole.
Hakukuwa na haraka ya kuongeza mikataba haraka vile.
Mambo yote yalitakiwa yafanyike mwisho wa msimu.
Tufukuze beki yote tumuache Lindelof na Shaw.