Waingereza watamfukuzisha kazi Ole.

Hakukuwa na haraka ya kuongeza mikataba haraka vile.

Mambo yote yalitakiwa yafanyike mwisho wa msimu.

Tufukuze beki yote tumuache Lindelof na Shaw.
Haiwezekani maana Phil Jones na Smalling wamepewa mikataba mipya tena ya four years each
 
Ole kwangu mm sio kocha bora na nadhani timu yetu itamshinda kama haiijamshinda bado.

Ole hana plan uwanjani hajui timu inacheza vipi watu wanacheza tu uwanjani ovyoovyo kama vile hawajawai kucheza pamoja. Hana tactic yoyote uwanjani jamaa anaonekana kabisa hana experience yoyote. Klop anatumia high press..na fast buildup kwenye kushambulia..pep anatumia constant pressure kwenye kukaba na high possiesion kwenye attack..nk nk nk. Ukija kwa kocha wetu ole haijulikani anacheza mfumo upi yupoyupo tu anategemea miujiza na vibe la wachezaji kushinda.

Pili jamaa yuko poor sana kuselect wachezaji wa kuanza mechi na nadhani ana ubaguzi flani kweye kuselect first eleven kuna kipind unaona kabisa lingard anazingua lakini kila siku utamuona ndani anacheza kila saa anamweka nje mtu kama lukaku amabae anainekana kabisa anapambana anapanga watu wasiojituma kina rashford(yaan huyu dogo kocha hawez kumkanya kabisa..dogo anajiona ronaldo sijui ni mchoyo balaa anataka kupiga kila saa anakaa na mpira mpaka anapoteza analalamika mno uwanajani kuna mda mpaka anazira mpira aisipopewa faulu. Kocha mzuri angeshamnyoosha dogo toka kitambo) kila siku tunaona tabia ni ileile haibadiliki ata

Tatu jamaa anazingua kwenye kuongeza mikataba ya wachezaji. Yaaani ni uingereza tu umemjaa waingereza wabovu wanapewa mikataba mizuri na kuongezewa mpunga na bado wapambanaji wakina herera wanaachwa kusepa kisa kuongezewa pesa tu kidogo.
Yaan anaonesha ubaguz wa wazi kabisa unamuongezea mshahara martial asiejituma herera akiomba kumuongezea pesa unagoma??? Daah

Nne jamaa kwenye sub ni mbovu sana yaan unaona timu inazingua toka mda tu yeye katulia tu anasubir sijui mpak dakika ya 70 au mpaka mpigwe goli ndo anajifanya kushtuka na kufanya sub zake mbovu fasta. Unakuta lukaku ndo kacheza vizuri anamtoa anamwacha rashford aliekuwa anacheza fyongo. Rashford kacheza fyongo sana na jamaa alikuwa hamtoi hata iweje naona juzi ndo kaanza kumpiga sub dogo

Mwisho jamaa anaonekana kabisa sio mkali kwa wachwzaji na kuna wwachezaji anawaogopa mfano pogba..jamaa anawez zingua mechi anapoteza pasi hakab nk ila atampiga sub fred anaecheza vizuri. Huu upendeleo wa wazi ndio unaopunguza morali ya timu.Tatizo la kuchukua nakocha wadogo ndio hili kocha hawez kumwambia chochote star wa timu unadhani ole anaweza kumkaripia pogba au martial wakabe?? Ndio maana timu letu linacheza kivivu tu

Hao kina mourinho pep na fergie ni wakali ndio maaana wanamafanikio na timu zao huyu kocha wetu mselamsela sidhan kama ataweza irudisha timu kuwa bingwa tena.
Kwa mtu makni ukiangalia makocha hawa utagundua kitu....Van Gaal, Ole, kocha wa Baca na kocha wa ajax, kocha wa PSG, allegrin pia anafall kwenye category hii, yaani wapo kapu moja, ni one way direction, walivyofungulia ndivo wanavyomalizia, hawana turning back option,....labda itokee by default.

Kwa soka la sa hv moja ya sifa kuu ya kocha ni kugundua tatzo mapema na kulifanyia kazi wakati game inaendelea....Kocha yyte anayekosa hii sifa ni ngumu sana kusurvive kwenye stiff competition, watu wanaweza kukubadilikia dk sifuri tu ukachapika goal tano huku unaangalia.......
 
Pale belgium kuna viungo wana vipaji na hamu ya mafanikio.
Akina de brune ndidi wametoka huko na kazi zao zinaonekana.hawa ma soft wa #brexit tutaendelea kufail.
 
Kwa mtu makni ukiangalia makocha hawa utagundua kitu....Van Gaal, Ole, kocha wa Baca na kocha wa ajax, kocha wa PSG, allegrin pia anafall kwenye category hii, yaani wapo kapu moja, ni one way direction, walivyofungulia ndivo wanavyomalizia, hawana turning back option,....labda itokee by default.

Kwa soka la sa hv moja ya sifa kuu ya kocha ni kugundua tatzo mapema na kulifanyia kazi wakati game inaendelea....Kocha yyte anayekosa hii sifa ni ngumu sana kusurvive kwenye stiff competition, watu wanaweza kukubadilikia dk sifuri tu ukachapika goal tano huku unaangalia.......
Hata Guardiolla yuko kwenye hilo kundi.

Mtu anayebadili mbinu uwanjani ni Mourinho, Zidane, klopp, Callo anceloti, Rafa benitez na Mauricio Pochetino.
 
Kama OGS atamleta De ligt kama tetesi zinavyosema atakuwa ameweka statement kubwa sana, itavutia na kushawishi vipaji vingi ku consider kuja Man U msimu huu. Na kama jamaa atakataa timu kama Barca na kuja Man U inaonyesha kiasi gani anaupenda mpira.
https://metro.co.uk/2019/05/17/matt...-united-transfer-ahead-barcelona-move-9585896

SEI_66416797.jpg
 
Kama OGS atamleta De ligt kama tetesi zinavyosema atakuwa ameweka statement kubwa sana, itavutia na kushawishi vipaji vingi ku consider kuja Man U msimu huu. Na kama jamaa atakataa timu kama Barca na kuja Man U inaonyesha kiasi gani anaupenda mpira.
https://metro.co.uk/2019/05/17/matt...-united-transfer-ahead-barcelona-move-9585896

SEI_66416797.jpg
Huyo dogo hana ubavu wa kukataa kwenda Barca

Kikwazo kikubwa kwake ni bajeti finyu ya Barca, kumbuka Barca tayari wanamchukua Dejong kwa £65 million, kuna asilimia kubwa Griezeman akenda Barca kwa release clause ya £105million. Bei ya De Ligt ni £60 million +. Ukijumlisha hapo ni hela nyingi (zaidi ya £ 230 million) inayohitajika hapo.

Kikwazo kingine ni Wachezaji walionao katika beki ya kati. Kitu walichokuwa wanaangaalia ni kumuuza Umtiti ili kuwe na space ya De Ligt, wasipota mteja itakuwa ngumu kuleta beki mwingine wa kati

Kuhusu ufinyu wa bajeti, possible solution iliyopo ni labda wamuuze Coutinho au Dembele au Akina Semedo na kipa wao namba 2 Jasper ili wapate mpunga wa kununua Dejong, De Ligt na Griezeman.

Wanahitaji kuuza Wachezaji ili wa balance hesabu zao (kwenye kununua wachezaji na kulipa mshahara)

Man tukimpata huyo, naona kivutio pekee itakuwa ni hela
 
De light hatakuja Man united nafikiri Skinniar au Maguire watavaa uzi wa man u msimu ujao
Skriniar nimesikia amesaini mkataba mpya juzi may be tumpate Maguire, japo mimi namkubali Maguire kwenye kuchezesha timu na kwenye mipira ya juu lakini hana pace ya kukimbizana na vibelenge mkuu

Bado naimani tutampata Koullibally, Tuanzebe kutoka loan Aston Villa anaweza kuja kutusaidia pia
 
Skriniar nimesikia amesaini mkataba mpya juzi may be tumpate Maguire, japo mimi namkubali Maguire kwenye kuchezesha timu na kwenye mipira ya juu lakini hana pace ya kukimbizana na vibelenge mkuu

Bado naimani tutampata Koullibally, Tuanzebe kutoka loan Aston Villa anaweza kuja kutusaidia pia
Hata khalidou naye analow pace pia kwa maana hiyo Skrinniar ni ideal zaidi
 
Back
Top Bottom