Na kwa manunuzi ya namna hiyo mnategemea timu ianze kuwa ya kiushindani na ichukue makombe kuanzia lini?

Na huo uvumilivu wa kusibiri mnao? Maana isije timu ikaingia kwenye rebuild mode halafu ndani ya msimu mmoja mkamwondosha kocha.
Man united imepoteza mwelekeo kwa sababu ya ujuaji wa kina Woodward na kama wataendelea kufanya wanavyofanya timu itapotea zaidi.
 
RowlesPaul An open letter to Ed Woodward, Manchester United executive vice-chairman
Mr Edward Woodward
Manchester United Football Club
Old Trafford
Manchester
M16 0RA

Dear Mr Woodward,
Thank you for taking time out of your day to day running of the club to read this letter. It comes with no great pleasure, in fact extreme discontentment, that I write this letter to you, however I do feel that I speak for the majority of Manchester United fans as I write these words.
I have Manchester United ingrained into my DNA from childhood to adulthood, from watching them on the television, taking my place as a season ticket holder in the Stretford End, to covering miles home and away from Old Trafford to Wembley among others, I have seen incredible highs and bitter lows at this club for which I will always hold an indelible love.

However, as the 2018-19 season comes to a close, there are growing, mass feelings of uncertainty, frustration and even anger at not only the performances of the club on the field, but how this is exacerbated and contextualised by our two greatest, bitterest rivals Liverpool and Manchester City having sterling seasons, leaving us further in their growing wake.

Historically, United hold the cards over City, but the gap, should I say chasm, which has been developing ever since Sheikh Mansour took the reins at City has reached alarming levels, which I will now put into damning context:

Ever since the 2015-16 season, where the two clubs finished level on points, City have since amassed 9, 19 and, most recently, a humbling, crushing 32 more points respectively than United. These figures really should be sending shock waves through the club at how much the gap has to be bridged. Let me add, that would be just to compete with them, let alone surpass and get back to the heights we used to scale with an impregnable ease.

Ever since Sir Alex Ferguson retired, Manchester United have been through four managers, on your watch, have not won a Premier League title, have only had two top four finishes, which should be the absolute minimum for our great club, and have endured four seasons with a sub 70 points total, which was last seen in 1991.

There can be little doubting your financial and revenue acumen, which is epitomised by the staggering 62% growth in the area and should rightfully be applauded. That said, most working class fans, who pay hard earned money, live and breathe this football club and are only interested in the club doing the business on the football pitch, having the best players and seeing us compete for honours come May, not living in dread at the prospect of either Liverpool or City lifting trophies aloft. This, in fact, is the definition of a United fan’s worst nightmare.

The Glazer takeover, which you helped facilitate, has drained out of our great club more than £1 billion in interest, costs, fees and dividends since 2005. That number approximately equates to that that Sheikh Mansour has invested into creating an all-conquering Manchester City team.

With the revenue figures at booming levels, I put it to you that Manchester United should be in the market for the best players in the world year in, year out, irrespective of whether the much coveted Champions League football is secured.

Instead, three of the back four who started our final league match of the season against Cardiff City were at the club when we stared Champions League elimination in the face in 2011 in Basel. If ever there was a sign that the club has entered the doldrums, surely that is a big indication?

I just would like to emphasise that this is by no means a knee-jerk reaction. This has been six years in the making. Most fans would, I’m sure, quite happily accept a few barren years more as long as there were clear signs of progression, forward thinking, planning and a clear structure from the top right to the very bottom in place.

I think most football observers would acknowledge that these traits have been sorely lacking at the club, it is clear that there needs to be a footballing culture and philosophy at the core of the club, which resonates from boardroom level right through to the youth teams.

That is what made the Sir Alex Ferguson era so unparalleled- everyone from David Gill to the canteen staff knew what was needed for Manchester United to be the very best in the English game.
These cross city comparisons are incredibly painful to make, but look at how Begiristain, Soriano and others have brought that Barcelona unity and philosophy to Manchester City. They pinpointed Pep Guardiola as their number one target all along and the fruits of their labour are now blooming. Their director of football approach has brought a winning culture with an unmistakable blueprint ranging from playing style on the pitch to the recruitment off it to fit into that style.

I implore you to back Ole Gunnar Solskjaer unconditionally in his attempts to revive this great club. This club has been hiring and firing managers for too long now to ensure stability. This is a man who has the club running through his veins and will no doubt be hurting at its current predicament.
He understands the club and needs to be given time to build what he sees to be a Manchester United team capable of consistently fighting for honours again.

With the correct structure, a director of football with a clear footballing vision and allowing Mr Solskjaer, United through and through, to have the final say on footballing matters, aligned with the director of football’s philosophy, I firmly believe that one day United will be back among Europe’s elite.

It would give supporters worldwide a sense of confidence if you could provide assurances that there are clear plans, both on and off the pitch to restore the club’s fortunes.

There is a lot of dented pride and lost love out there following this season and there needs to be some accountability, not just this year, for the last six years where the winds of change have seen United fall from the top.

Once again, thank you for taking the time to read this letter and I look forward to your response.

Yours faithfully.


Paul Rowles – Stretty News writer
 
Man united imepoteza mwelekeo kwa sababu ya ujuaji wa kina Woodward na kama wataendelea kufanya wanavyofanya timu itapotea zaidi.
Mou aliblame sana,kwamba board haitoi support, na mfumo wake wa kupaki basi ulikuwa haupendwi na lazy players ambao pia ni key player, notably Pogba, martial, rashford nk..ko wachezaji na board kwa pamoja wakamwandama jamaaa, mshikaji akaamsha....
Ole alipokuja na akashinda mechi kumi mfululizo ikatoa picha kuwa shida ni mou, na hvo akawazibia lawama wanaboard na wachezaji, wakampa mkataba, sa hv tatizo limebak clear walijificha kwenye kichaka cha karanga...

Nafkr sa hv wanajuta kumpa mkataba Ole, kwa tatizo lililopo pale sidhan kama wana imani naye, mana wanatafta kocha wa kuwazibia makosa ili wao wapige pesa...

Herrera jana amesema kuwa Mou alipambana sana msimu uliopita, kwa kufanya kila linalowezekana, shida ilikuwa poor support ya board, ambayo ilisababisha akose nguvu na wachezani wakapata kburi......
 
Na kwa manunuzi ya namna hiyo mnategemea timu ianze kuwa ya kiushindani na ichukue makombe kuanzia lini?

Na huo uvumilivu wa kusibiri mnao? Maana isije timu ikaingia kwenye rebuild mode halafu ndani ya msimu mmoja mkamwondosha kocha.

Hivi klopp aliikuta liverpool ya namna gani? Kwani mlivumilia si mlikuwa mnapiga kelele lakin mambo yanabadilika taratibu ndivyo ilivyo hata mwaka 2003 timu chini ya sir alex ilipotea kwenye zile timu zenye ushindani baran ulaya tulikuja kurudi strong kuanzia 2006 hata kama akisema ananunua wachezaj wa bei ghali unajua ni kwa namna gani watarudisha hadhi ya timu?

Hapo juu nimekupa mfano wa psg inakila kitu bado wanatolewa na awakina andres pereira na scott mctominay
 
Hivi klopp aliikuta liverpool ya namna gani? Kwani mlivumilia si mlikuwa mnapiga kelele lakin mambo yanabadilika taratibu ndivyo ilivyo hata mwaka 2003 timu chini ya sir alex ilipotea kwenye zile timu zenye ushindani baran ulaya tulikuja kurudi strong kuanzia 2006 hata kama akisema ananunua wachezaj wa bei ghali unajua ni kwa namna gani watarudisha hadhi ya timu?

Hapo juu nimekupa mfano wa psg inakila kitu bado wanatolewa na awakina andres pereira na scott mctominay
Hahahahahhah Manchester United haina muda wa kusubiri wa kujenga timu kwa miaka 3 o f 4 United hawana upuuzi huo United sio Liverpool mkuu timu ikikosa kombe hata misimu 3 kocha haulizwi United wanahitaji wachezaji wakubwa ,timu ishinde Trophies then wafanye Business wapige pesa
 
Haha haha


Naona watu wenye imani haba wameanza kumkumbuka yule mmakonde wa Mtwara "Jose Mourinho" kwa timu kutokufanya vizuri muda huu.


Niweke kitu sawa. Matatizo ya sasa hayafuti udhaifu wa Mou. Mou ni kocha mbovu... Timu kuendelea kuwa mbovu haimuondolei ubovu wake.


Issue kubwa ni kocha Ole ameshindwa kuchanga karata zake vyema mechi 10 za mwisho ...


Huyo mou alivyotimuliwa Chelsea kocha aliechukua mikoba yake aliweza kuivusha timu na kuiepusha na kushika Nafasi za 10+...



Niliwahi kusema humu kwamba ni lazima tuwe timu kama Barcelona , Chelsea au Madrid kwamba kocha ukizingua unafukuzwa kabla mambo hayajaharibika....


Leo watu wanamkumbuma Mou ila wamesahau mechi ya mwisho na Liverpool , ambayo tulichezea kipigo "heavy" na kupelekea huyu mmakonde kutimuliwa pale Old Trafford.. Katika mechi hiyo aliwaweka benchi Pogba, Martial , Lukaku, Valencia , Herrera... Hahaha


Ole mimi nakupa Nafasi na nitapima uwezo wako kwenye pre season matches na kwenye transfer zako .



Otherwise , GGMU.
 
Haha haha


Naona watu wenye imani haba wameanza kumkumbuka yule mmakonde wa Mtwara "Jose Mourinho" kwa timu kutokufanya vizuri muda huu.


Niweke kitu sawa. Matatizo ya sasa hayafuti udhaifu wa Mou. Mou ni kocha mbovu... Timu kuendelea kuwa mbovu haimuondolei ubovu wake.


Issue kubwa ni kocha Ole ameshindwa kuchanga karata zake vyema mechi 10 za mwisho ...


Huyo mou alivyotimuliwa Chelsea kocha aliechukua mikoba yake aliweza kuivusha timu na kuiepusha na kushika Nafasi za 10+...



Niliwahi kusema humu kwamba ni lazima tuwe timu kama Barcelona , Chelsea au Madrid kwamba kocha ukizingua unafukuzwa kabla mambo hayajaharibika....


Leo watu wanamkumbuma Mou ila wamesahau mechi ya mwisho na Liverpool , ambayo tulichezea kipigo "heavy" na kupelekea huyu mmakonde kutimuliwa pale Old Trafford.. Katika mechi hiyo aliwaweka benchi Pogba, Martial , Lukaku, Valencia , Herrera... Hahaha


Ole mimi nakupa Nafasi na nitapima uwezo wako kwenye pre season matches na kwenye transfer zako .



Otherwise , GGMU.
Mkuu hakuna mtu anayetaman Mou arud OT, Mou aliaret tatzo mapema ila akaonekana miyeyusho, kufeli kwake kunachangiwa na mambo mengi, hata alipoondka chelsea aliyekuja alifanikiwa ila mwaka wa pili tatizo lile lile likaibuka pale chelsea na kocha akafukuzwa.....

Unaweza kumdharau ila jamaa CV yake ni kubwa sana, tangu aondoke fergie, Mou ndo kocha mwenye mafanikio zaidi pale OT...
 
Hivi klopp aliikuta liverpool ya namna gani? Kwani mlivumilia si mlikuwa mnapiga kelele lakin mambo yanabadilika taratibu ndivyo ilivyo hata mwaka 2003 timu chini ya sir alex ilipotea kwenye zile timu zenye ushindani baran ulaya tulikuja kurudi strong kuanzia 2006 hata kama akisema ananunua wachezaj wa bei ghali unajua ni kwa namna gani watarudisha hadhi ya timu?
Hapo juu nimekupa mfano wa psg inakila kitu bado wanatolewa na awakina andres pereira na scott mctominay

Naielewa point yako, Klopp kaikuta Liverpool ni mbovu na tumekuwa tunaendelea kulia.

Tofauti ya sisi na ninyi ni uvumilivu, sisi tumeshakaa miaka mingi bila kombe hivyo ni kama tumeshakuwa sugu, tuna kauvumilivu fulani ka kumpa muda kocha. Ninyi ndiyo kwanza miaka 6 imeisha, bado usugu haujaja, swali ninalojiuliza ikitokea next 2 season mkaenda kapa, OGS mtamwacha?

Umezungumzia 2003, hiyo ilikuwa chini ya mkufunzi mkuu ambaye hajapata kutokea, alikuwa amesha-prove beyond reasonable doubt kwamba ni winner, na hata akisema nitawarudisha juu mnaelewa, anaweka mipango mezani mnachotakiwa ni kutekeleza upande wenu na yeye upande wake, huyu OGS ndo kwanza amepewa ajifunzie Man Utd.
 
Mkuu hakuna mtu anayetaman Mou arud OT, Mou aliaret tatzo mapema ila akaonekana miyeyusho, kufeli kwake kunachangiwa na mambo mengi, hata alipoondka chelsea aliyekuja alifanikiwa ila mwaka wa pili tatizo lile lile likaibuka pale chelsea na kocha akafukuzwa.....

Unaweza kumdharau ila jamaa CV yake ni kubwa sana, tangu aondoke fergie, Mou ndo kocha mwenye mafanikio zaidi pale OT...
Mkuu hivi unajua kipindi cha miaka miwili ya Mou alisajiri wachezaji 11 kwa zaidi ya pound million 300..
Ulitaka apewe nini zaidi ?? Ulitaka apewe nini zaidi ??


Anyway Mimi nakubali CV ya Mou ila naamini muda wake umeshapita. Enzi za kuangalia mechi unalowa jasho kwa kupaki basi umeshapata.
Unaangalia mechi t-shirt inaloa unakuwa huna tofauti na Smalling au Lukaku .. Wao wanatokwa jasho uwanjani na wewe unatokwa na jasho kibanda umiza ... Ukirudi nyumbani na wewe unapitilizia bafuni kuoga.



Mwisho wa siku ni ukweli mchunngu, matatizo ya united si ya kutatuliwa kwa kwa msimu mmoja au miwili. Kama kuna shabiki anajiaminisha ndani ya miezi miwili timu itakuwa sawa namuonea huruma Sana...


Tunataka kocha wa kujenga timu si tu kwa sasa hata baada ya miaka 4 ijayo ..
 
Mkuu hakuna mtu anayetaman Mou arud OT, Mou aliaret tatzo mapema ila akaonekana miyeyusho, kufeli kwake kunachangiwa na mambo mengi, hata alipoondka chelsea aliyekuja alifanikiwa ila mwaka wa pili tatizo lile lile likaibuka pale chelsea na kocha akafukuzwa.....

Unaweza kumdharau ila jamaa CV yake ni kubwa sana, tangu aondoke fergie, Mou ndo kocha mwenye mafanikio zaidi pale OT...
Naomba unitajie hayo mambo yaliyomfanya mou akashindwa united ;


NB: Kumbuka ndani ya miaka miwili alitumia zaidi ya pound million 300+ kwa usajili!!!! Na alisajiri wachezaji 11 ....


Amini nakwambia kuna MAkocha ukiwapa hicho kiasi (Mfano Guardiola ) hutokaa uamini ...


Nasubiri majibu yako kwa hamu sana ...
 
Hahahahahhah Manchester United haina muda wa kusubiri wa kujenga timu kwa miaka 3 o f 4 United hawana upuuzi huo United sio Liverpool mkuu timu ikikosa kombe hata misimu 3 kocha haulizwi United wanahitaji wachezaji wakubwa ,timu ishinde Trophies then wafanye Business wapige pesa

Kocha anafukuzwa kwa kufanya vibaya uvumilivu ni muhimu kwa nini nasema hivyo mourinho na van gaal walipewa pesa za usajili watu walikuwa wakiangalia uwanjani na pesa waliyotoa vinaendana

Mourinho alitaka kujirekebisha kwa kuanza na mabaek na viungo washambuliaji hapa mm nilimuunga mkono kwa sababu had leo yanaonekana bodi haikuelewa kocha ambae kafukuzwa fasta alikuwa moyes huyu hakutumia pesa na hata alisema sikupewa pesa za machaguo yangu ya kwanza

Ila van gaal alichezea pesa

Nasema kufukuza kocha sio dawa haya OGS anaenda kuanza na program mpya itamchukua muda gani?

Liverpool msimu wa nne sasa timu ipo kiushindani zaidi je sisi?

Pep kaikuta city inawachezaj karibia 7 wametimia na nguvu zao hata anapo msajili Gabriel Jesus hafanyi la maana ubovu wake unafichwa na wakongwe au mendy ingekuwa ni timu mbov pesa za hawa watu zingeulizwa nani anajali mendy kukaa bench kwa ile pesa?

United bado hatuna jeuri ya kufukuza kocha halafu tukaingia top 2 teams

Angalia spurs alifukuza wakina paulinho na sandro hao ni viungo walikuwa wa maana kocha wa spurs alianza kujenga timu taratibu kwa kumzunguka harry kane leo ni kicheko tu japo levy anamuangusha huyu kocha
 
Aliyesema hivyo ni OGS, kwamba atanunua wachezaji wa bei rahisi ili atengeneze kikosi cha namna hiyo.

Kwa case hiyo, means at minimum msimu ujao utakuwa mgumu zaidi, hivyo kama ni kuanza kuona matunda ni ule msimu mwingine. Ndiyo maana nikasema msimu ujao ni wa tabu kwenu.

Swali: Je, mna huo uvumulivu? Imagine sisi huu msimu wa nne umekata hatujapata kitu lakini tumo tu tumekubaliana kwamba Klopp anajenga timu. Mungu asaidie tupate hiyo UEFA.
Duh, Kama Kuna shabiki wa utd anategemea msimu ujau timu itakuwa kwenye mashindano ya ubingwa basi atakuwa kipofu na amezidi mahaba,(very Naive )........
Mafanikio ya juu kabisa inayoweza kuyapata utd msimu ujao Ni nafasi ya 5/6 maaana sidhani Kama kutakuwa na zari la kuyumba na kushuka kwa kiwango kwa timu za Asernal, Chelsea na Spurs kama ilivyoyoke msimuu.......
 
Naomba unitajie hayo mambo yaliyomfanya mou akashindwa united ;


NB: Kumbuka ndani ya miaka miwili alitumia zaidi ya pound million 300+ kwa usajili!!!! Na alisajiri wachezaji 11 ....


Amini nakwambia kuna MAkocha ukiwapa hicho kiasi (Mfano Guardiola ) hutokaa uamini ...


Nasubiri majibu yako kwa hamu sana ...
Mkuu unapohitaj kocha wa kukurekebishia timu inabid umpe uhuru wa kutosha, manunuz pale OT kwa kias kikubwa yalichangiwa na issue za kibiashara na sio utashi wa kocha kwa 100%, kocha anaweza kusajili ndio ila usijidanganye kuwa ndo ametosha humuongezei hela tena, mabadiliko ni kila msimu, mpak timu inapokuwa stable.....

Mourinho alitumia mil 300, Guardiola ametumia more than one billion na bado anamwaga pesa sa hv kupata wachezaji wengine......kwan wakat wanamwajir Mourinho hawakujua kuwa style yake ni ya kupaki basi?? mbna inajulikana kwamba jamaa huwa anatengeneza timu kutokea kwenye defence, na anashambulia kwa counter, kuotea, na by mistake ya timu pinzani.....

sasa iweje umzuie kusajili et ametosha, ?
 
Mkuu unapohitaj kocha wa kukurekebishia timu inabid umpe uhuru wa kutosha, manunuz pale OT kwa kias kikubwa yalichangiwa na issue za kibiashara na sio utashi wa kocha kwa 100%, kocha anaweza kusajili ndio ila usijidanganye kuwa ndo ametosha humuongezei hela tena, mabadiliko ni kila msimu, mpak timu inapokuwa stable.....

Mourinho alitumia mil 300, Guardiola ametumia more than one billion na bado anamwaga pesa sa hv kupata wachezaji wengine......kwan wakat wanamwajir Mourinho hawakujua kuwa style yake ni ya kupaki basi?? mbna inajulikana kwamba jamaa huwa anatengeneza timu kutokea kwenye defence, na anashambulia kwa counter, kuotea, na by mistake ya timu pinzani.....

sasa iweje umzuie kusajili et ametosha, ?
Tena siku nyingine acha kulinganisha "Kipara" Pep Guardiola na vitu vya kipuuzi kama Mourinho...


Sitakai soka la sasa ni kumwaga Pesa .. Nitajie na unilinganishie achievements z Mou na Guardiola katika kipindi cha miaka yao miwili katika timu zao .. Kama utafiti wako utaonesha Wamelingana au Mou kamzidi Guardiola Mimi nitaacha kuwa member na kuomba life bad humu jamii forum..


Lakini pia kumbuka kiasi alichotumia Guardiola ndani ya miaka miwili pale city ndio kiasi sambamba na kile kile alichotumia Mou united ... Kwanini matokeo chanya yaonekane city ?? .. Hapa sasa tunakuja kumdaka kocha .. Kocha ana uwezo mdogo ... Tena uwezo mdogo mno.


Haina haja ya kutoana mapovu kujua ubovu wa mou , rudi nyuma kidogo ulivyo guru my sh wa Chelsea kwa ibu.. Timu aliiacha ikiwa katikati ya msimamo ( Mid of the table )...


Mou anauzika sokoni kwa CV Na achievements zake kwenye soka .. Ni sawa na wakina Rafael Benitezi muda wao umeshakwenda na maji...



Unasema Guardiola natumia 1 billion pound, nikuulize hiyo amount ameitumia kwa miaka miwili ?? Unadhani ndani ya miaka miwili asingefanya vizuri city wangekuwa na hamu ya kumuongezea Pesa za kusajiri ???


Mkuu mpira ni mchezo wa wazi Fanya kazi upewe hela ... Mou aliikuta timu Nafasi ya sita na kaiacha Nafasi hiyo hiyo . Hakuna alichoongeza zaidi ya kutafuna Pesa ..
 
PANGA halikwepeki Manchester United. kocha wa kikosi hicho, Ole Gunnar Solskjaer amekuwa mkali na kusisitiza atawaondoa wachezaji wengi kwenye dirisha lijalo la usajili.
Hata hivyo, unaambiwa hivi kocha huyo huenda akagusa wachezaji wote, lakini si kinda Anthony Martial, ambaye mmiliki mwenza wa timu hiyo, Joel Glazer anamwona kama Pele wa Man United.
Martial kujituma kwake kwenye kikosi hicho kumetiliwa mashaka na makocha wote Jose Mourinho aliyeondoka na huyu wa sasa Solskjaer jambo linalotia wasiwasi mkubwa wa hatima ya Mfaransa huyo kuendelea kubaki Old Trafford msimu ujao.
Hata hivyo, kutokana na kuwa mchezaji kipenzi cha bosi, Martial anaweza kuwa salama. Januari mwaka huu, Martial alisaini mkataba mpya hadi 2023 ambao utamshuhudia akiweka kibindoni Pauni 200,000 kwa wiki.
Makamu Mwenyekiti wa Man United, Ed Woodward naye anamwona Martial ni silaha ya siku za baadaye. Kipindi kile Mourinho alitaka kumwondoa ili kumleta winga Ivan Perisic, lakini mabosi Glazer na Woodward wakamtaka Martial kwenye timu.
Kutokana na hilo, Kocha Solskjaer atakuwa na orodha yake ya wachezaji kadhaa ambao hataguswa akiamua kuwaondoa kwenye kikosi hicho ili kupunguza bili ya mishahara na kuwanasa wachezaji wengine wapya watakaokuwa na faida kwenye timu.
Ripoti zinadai kuna orodha isiyopungua wachezaji wanane wataachana na maisha ya Man United kwenye dirisha lijalo la usajili, huku ikidaiwa kuna sura tano mpya zitatua hapo kabla ya Julai Mosi watakapoanza mazoezi ya kujiandaa na msimu ujao.
Wachezaji Antonio Valencia na Ander Herrera hao hawatakuwapo Old Trafford msimu ujao, lakini panga la Ole huenda likapitia pia majina ya mastaa kama Matteo Darmian, Marcos Rojo, Eric Bailly, Juan Mata, Romelu Lukaku na Alexis Sanchez.
Kuna taarifa pia zinazomtaja Paul Pogba kuwa ni miongoni mwa mastaa watakaofunguliwa milango ya kutokea licha ya Bosi Woodward kumtaka mchezaji huyo aendelee kubaki Old Trafford kwa sababu za kibiashara.
Ole hataki mzaha na ndio maana kwenye orodha ya wakali wanaotajwa kwamba watapigwa panga Old Trafford kuanzia sasa wote ni mastaa wakubwa.
 
Boss wenu anasema hivi

BREAKING NEWS
Manchester United Executive Vice Chairman Ed Woodward is pledging to use Manchester United’s financial muscle to help Ole Gunnar Solskjaer with his Summer rebuilding plans after a season he’s labelled as “turbulent”.
As United release their Third Quarter Results, Woodward has said the “underlying strength of our business will allow us to support the manager and his team as we look to the future.”
The statement also hints that the preparations for the new season are well underway and Woodward adds that “everyone at Manchester United is focussed upon building towards the success that this great club expects and our fans deserve.”
Manchester United’s Third Quarter Revenues were up 3.4% to £152.1m with a 94% rise in operating profits to £14.2m. The club’s debt has remained pretty static at £301.7m a rise of £0.4m over the year.
 
168 Reactions
Reply
Back
Top Bottom