Niliona mahala akirusha madongo kwa Sanchez kuwa alifuata pesa united na si kweli kuwa anaipenda klabu tokea utotoni kama alivyowahi kujinasibu.Naona Evra ame trend! Kuna nini kuhusu Evra?
Magazeti yanaitumia united kufanya biashara zaoKuna wachezaji kadhaa kila kona naona wanazungumziwa sana kwenda united
Bruno Fernandes
Adrien Rabiot
Joao Felix
Paulo Dybala
Diego Godin
Maguire
Sancho
Coutinho
Tielemans (wa king power stadium huyu)
Kwa rumazi zote hizo, hatutashangaaa tukatoka empty
Pesa kiulaini Sanchez
Duniani kwa sasa kila mchezaji anahusishwa kujiunga na man united
Kuna wachezaji kadhaa kila kona naona wanazungumziwa sana kwenda united
Bruno Fernandes
Adrien Rabiot
Joao Felix
Paulo Dybala
Diego Godin
Maguire
Sancho
Coutinho
Tielemans (wa king power stadium huyu)
Kwa rumazi zote hizo, hatutashangaaa tukatoka empty
OGS anataka kumuacha Martialzimebaki siku mbili kabla dirisha la usajili kufunguliwa ligi kuu England. United bado haina head of recruitment.
wakati huo huo ED Woodward kuna kipindi alikaririwa akisema hatafanya makosa aliyofanya kwa Sanchez, ila bado anarudia yale yale naweza sema anakula matapishi yake kwa huyu Pogba. Kuna vyanzo vinasema Solskjaer amemwambia mtendaji mkuu wa United kama Pogba anataka kwenda amuache aende lakini yeye anamuangalia Pogba kwenye mambo ya biashara na anataka kumuongezea mkataba hili ni KOSA alilosema hatalirudia.
wakati huo huo, wachezaji wa United wamepewa likizo mpaka july na kocha amewaambia kila mtu achukue kila kitu chake wasiache hata kimoja kwa maana baadhi ya wachezaji hawatarudi tena pale AON complex.
Rabiot - ni Pogba mwingineKuna wachezaji kadhaa kila kona naona wanazungumziwa sana kwenda united
Bruno Fernandes
Adrien Rabiot
Joao Felix
Paulo Dybala
Diego Godin
Maguire
Sancho
Coutinho
Tielemans (wa king power stadium huyu)
Kwa rumazi zote hizo, hatutashangaaa tukatoka empty
Godin - mzee, kama tumataka kwenda m ele, hatumuhitajiRabiot - ni Pogba mwingine
Dyabala - ni fedheha kuchukua reject wa timu nyingine, pia sio mpambanaji kiivyo
Joao Felix - tuna Angel Gomes
Sancho - tupo Europa, sijui kama atakubali
Mkuu upo kichwani kwani hapo tukifanikiwa kuchukua wa 5 tutasumbua sana..... Imagine Fernandes, Pepe, Madison, Koulibaly, Wan Bissaka alafu ndidi anafunga kazi aiseh tutakuwa vzuri Sana........Tetesi za Usajili zilizopo ninazozifurahia
1. Nicolas Pepe - Lile
2. Bruno Fernandes - Sporting
3. Koullibally - Napoli
4. Bissaka - Cristal Palace
Ninashangaa kwanini sijasikia Tetesi za Wachezaji wafuatao
1. Madison - Leicester
2. Neves - Wolves
3. Ndidi - Leicester
Rabiot - ni Pogba mwingine
Dyabala - ni fedheha kuchukua reject wa timu nyingine, pia sio mpambanaji kiivyo
Joao Felix - tuna Angel Gomes
Sancho - tupo Europa, sijui kama atakubali
Pia KunaTetesi za Usajili zilizopo ninazozifurahia
1. Nicolas Pepe - Lile
2. Bruno Fernandes - Sporting
3. Koullibally - Napoli
4. Bissaka - Cristal Palace
Ninashangaa kwanini sijasikia Tetesi za Wachezaji wafuatao
1. Madison - Leicester
2. Neves - Wolves
3. Ndidi - Leicester
View attachment 1096616View attachment 1096617View attachment 1096618
Ooh its not emptyhad any longer.
Yani average kuanzia 2013-2018 city ana attendance kubwa kumzidi liverpool na chelsea
Mnamuonea sana Pogba,Tatizo la man utd linaanza na pogba halafu sosha na waingereza wake.
Yaani klabu yangu inatia huruma.