Naona kama Ole kesho ataanza na Jones..nahisihisi hivyo..but lets wait

United Fan
yule bwege aliyesema maisha yetu tunayoishi kila siku hayana tofauti na gwaride hakukosea hata kidogo.
Yule fala aliyesema maisha yetu hayana tofauti na mbio za vijiti pia hakukosea hata kidogo, nimebaki najiuliza kwa nini watu hawa wawili hawakupewa tunzo ya nobel?

leo hii victor lindeloff amekuwa baba mwenye nyumba after david de gea.
endeleeni kupanga vikosi vyenu lakini huyu jamaa pichani awepo kwa lazima kwa sababu ndiye aliyeshikilia ufunguo wa maana halisi ya maisha.

Life is a race, if you don't run fast you'll get trampled
1549897396137.png
 
Tuiangalie mechi yetu ya kesho, tuachane na hao Chelsix;

Tukianza na PSG kesho nakiona kikosi kikianza kama ifuatavyo;​

Buffon

Kehler Kimpembe Silva Bernat

Paredes Marquinhos Veratti

Di Maria Mbappe Draxler

>Kehler anaweza kuanza kwa sababu Meunier ni majeruhi, na huyu Mjerumani Kehler anaonekana anaweza kuwa mbadala mzuri.

>Marquinhos naona akimuweka benchi Dani Alves kesho kwa sababu alicheza vizuri kwenye mechi zote za Liverpool vs PSG kwahiyo sioni nafasi ya Alves hapo kesho.

>Adrien Rabiot nasikia hata kwenye kikosi kinachokuja hatokuepo kwa sababu hataki kuongeza mkataba anataka kusepa.

>Tutarajie kumuona Paredes kesho akianza au akitokea benchi.

>Kesho Mbappe atakaa pale mbele aliaweze kuwapa tabu mabeki wetu kwasababu ndio mtu pekee aliyebaki wa kuogopwa kwasababu ya mbio zake kama kweli Cavani hatokuepo.

>Julian Draxler na Angel Di Maria ndio watakao tuletea tabu maeneo ya pembeni kama watafanikiwa kupadhibiti na kumpitishia mipira Yule kiberenge Kylian Mbappe Lotin.

>Kama kocha anaroho ngumu sana basi atamuanzisha Di Maria kushoto, Mbappe kulia na pale mbele atakaa Choupo Moting.



Kwa upande wetu naona kikosi kikianza kama ifuatavyo;​

Rashford

Martial Pogba Lingard

Matic Hererra

Shaw Bailly Lindelof Young

De Gea

Kikosi chetu kitaanza hivyo kama wengi tunavyotarajia.

>Rashford atakuepo kwasababu anaonekana kuwa kwenye wakati mzuri kuliko Lukaku.

>Martial atamuweka nje Sanchez, kwahiyo Sanchez ataweza kutokea benchi kulingana hali ya mchezo itakavyokuwa.

>Matic na Hererra shughuli yao inajulikana.

>Bailly atamuweka nje Jones kwasababu Bailly anaweza kukimbizana na Yule kiberenge wao pale mbele, ingawa kama atazidiwa tutarajie kuona akipata kadi nyekundu kwasababu Bailly akilizake huwa anazijua yeye tu.

>Kimsingi mpaka sasa mechi iko upande wetu kabisa labda tushindwe wenyewe tu, maana kama angekuepo Neymar, Cavani na Meunier basi kazi ingekuwa ni kubwa zaidi, ndio maana hata kwa ale tunaobeti tunaona kabisa odds za Man U zimeshuka sana mpaka 2 wakati kipindi Mou yupo odds zetu zilikuwa 5+…

(Naomba kesho tuwepo humu ndani, marafiki zetu wa Team za Alhamisi watakuja kututembelea na wengine watakuja kujifariji baada kipigo kikali walichokipata)

GGMU…GGMU..GGMU



Mechi itakuwa ngum bado kwa pande zote mbili lakn nauona ushindi wa magoli 2+ ukienda ot tukipata na cleansheet itapendeza zaid all in all mkuu umenena vizur sana ndio game za kuwaonyesha ukubwa wetu hawa mabishoo wa paris

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona press conference ya leo, OLE kaenda na kijana wake Martial.
Ilikua poa martial ana aibu kinoma,sababu kubwa ni kwakua nusu ya reporters wanaongea kifaransa kwaiyo jamaa alikua kama translator pia.
Nilipenda alivyojibu if players wanataka solskjaer awe kocha after this season

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lingard anaanza..Sanchez hajaonyesha sababu yoyote ya yeye kuanza game hii TBH...ila pia Lingard sio kwamba ni best kihivyo,ila muunganiko wao kule mbele umeonyesha kitu kwenye mechi nyingi chini ya OGS

Martial Rashford Lingard ..hii lineup mimi ndo naona ni ya kwanza kwenye kichwa cha OGS

My Lineup

De Gea

Young Bailly Lindelof Shaw

Herrera Matic Pogba

Lingard Rashford Martial


Possible lineups.....sema cjajua hii mechi kama inamfaa sana mtu kama SanchezView attachment 1020455

United Fan
 
Sema kuvuta 4 world class ni ngumu kidogo, lazima ubugi kiduchu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu. Hicho nilichotaja ni mahitaji lakini inaweza isiwe uhalisia kwa 100%

Lakini tukipata hata world class wawili, yaani beki wa kati na winger especially left footed na tupate wawili (talents bora) kwenye nafasi nyingine kama full back na central midfielder itatusaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu. Hicho nilichotaja ni mahitaji lakini inaweza isiwe uhalisia kwa 100%

Lakini tukipata hata world class wawili, yaani beki wa kati na winger especially left footed na tupate wawili (talents bora) kwenye nafasi nyingine kama full back na central midfielder itatusaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli kabsa sema ma winger world class siku hizi kuwapata ni ishu aisee, wengi bado watoto, nilisikia Douglas Costa anataka asepe Juve sasa sijui kama ni kweli ila naona kama tukimpata mtu kama yule tutatisha...maana ukiangalia UTD mashambulizi yetu mengi yanatokea upande wa Martial (kushoto) sasa akija Costa tutakuwa tunashambulia pande zote mbili vzuri.
 
167 Reactions
Reply
Back
Top Bottom