Habari za uhakika zinasema Mfarisayo anatafakari kuingia na jina jipya baada ya mkong'oto wa CL hata Equlpsssss naye yupo njiani na jina jipya BJ yeye kaamua kususa, Manda na Belo wapo wakichungulia tu na kutafakari kama December itaisha kwa amani ili warejee January na nguvu ingine ya soda. Papizo anaongoza sala hapa jukwaani lakini hana uzoefu zinamtokea puani. Ogah naye hajaonekana alifikiri EPL ni chandimu.

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nani-Kevin-Doyle-and-Ronald-Zubar_2689212.jpg
 
Back
Top Bottom