Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,600
- 4,073
Pole mkuuutaona man u wanavyopendelea zisipoongezwa dakika 5 au 7 hapa itakuwa bahati ili mradi tu man warudishe goli
Pole mkuuutaona man u wanavyopendelea zisipoongezwa dakika 5 au 7 hapa itakuwa bahati ili mradi tu man warudishe goli
si muda mrefu lingard atakuwa anamuweka benchi lukakuBado hamumkubali Lingard?
Hukuona Bunley walivyokuwa wanapoteza muda hadi wawili wakapewa kadi?hivi hii game kulikuwa na ulazima gani wa kuongeza dakika 5
Nani atacheza badala yake? Ibra? Unafikiri kwanini Mou kamtoa Ibra na si Lukaku?Hivi lazima lukaku aanze?
tatizo la huyu dogo hayuko consistent game moja anafanya vizuri inayofuata anaborongasi muda mrefu lingard atakuwa anamuweka benchi lukaku
Ahahaaaaaaaaaaah...Baada Ya Gurdiola Kufanikiwa Kuinunua Ligi Hawa Man Shit washaanza Mdomo! Kabla Ya Kuangalia Kuwa Kwanini Hajafungwa kwanza Wangeangali Katumia £ ngapi Kwa Ajili ya Kufika Hapo alipo.
Lakini Muarabu afahamu Kuwa Mpira Ni Wa Wananchi na Si Wa Pesa..
Hata Abramovic 2004/05 aliinunua Ligi lakini Sasahivi Kaishia Wapi? Kuingia sokoni anaogopa Anaishia Kuuza Matic anunue Moratta.
Na Huyo Mwarabu Ajue Matumizi Ya Katika Soka Yana Ukomo..
Kwa Ufupi Gurdiola Kainunua Ligi.
Wewe ni mwehu...Bei ya mangala na johnston inafikia bei ya pogba halafu hawana uhakika wa namba.
View attachment 659947
Si ulitaka tufungwe.siku hizi mkitoka draw mnashangilia kiasi hichi daah!
Mmekumbwa na nini?