Kinachonisikitisha Wenger kawakataza wachezaji wangu kupiga mashuti ya mbali lakini yangekuwa mengine kwenye mechi yetu inayokuja na huyu kipa wenu mpya.Kipa ukitungua goli lol.
Humuoni Forster anachezea West Brom au unamzungumzia Ben Amos?Huyu ndo game yake ya mwisho kaka... Pale ataanza Ben Foster.......
Yaaani haka Ka DE GEA kamefungwa goli la kise****nge then nakanijidai kanamind wakati ndo uwezo wake....Hahahahahaaaaa