Manchester United fan commits suicide after loss!..ushabiki mwengine jamani!

Hapa umetuchanganyia habari mkuu.

La kamanda.

nimekusudia kuonyesha jinsi ushabiki wa klabu za EPL na wakenya zimefikia dangerous
levels. Katika hii habari aliyevaa jezi ya Arsenal na maandishi 'fly Emirates' kakosea na
huyo bosi wake aliyemvua hio jezi kadamnasi, nae pia kakosea. Huyo Naikuni lazima
atakua shabiki wa Man-U na kaleta chuki na hasira zake kwenye ghafla.
 
Majanga! It is not surprising. Kenya ilitokea (mwezi Mei 2009) mshabiki wa Arsenal alijiua baada ya Arsenal kushindwa kwa aggregate ya 4-1 na Man U kwenye UEFA champions race. Habari nzima iko HAPA. Ushabiki ni noma. Mie juzi nimeshindwa kulala vizuri baada ya Man U kupoteza mechi, ila sijafikia kujiua.

Nafuu sie mashabiki wa Chelsea, hatuna hizi skendo za kujiua...lol. Mwenzio juzi ungedhani nimepagawa
aisee. Gemu karibu inipe presha mazee. Kweli mpira hudunda!
 
Nafuu sie mashabiki wa Chelsea, hatuna hizi skendo za kujiua...lol. Mwenzio juzi ungedhani nimepagawa
aisee. Gemu karibu inipe presha mazee. Kweli mpira hudunda!

Ni kweli kabisa, mpira unadunda! We aare at our lowest, kuna siku tutapanda.
 
Back
Top Bottom