donbeny
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,587
- 3,172
Unaweza kuwa na million moja hiyo lakini ina mahesabu mengi ukinunulia simu unalala njaa mwezi mzima ndio maana unakaa na H7 kwa mtu mwenye disposable income ya kutosha hawezi kutumia H7.
Lakini sawa maana siku jui unaweza kuwa umeridhika na Tecno yako sio kosa
Pamoja na majibu yako ya dharau nina reserve my comments.Sikujua simu ya bei kubwa inaonyesha uwezo wa mtu kiuchumi !!!!!