Wamekikosea kichwa Cha Kompany, kimekaa kama cha Refa mahiri Colina.Mbona kichwa cha Kompany kidogo kuliko uhalisia wake?
Mufundi wangu wa itihad wasisau na yaya toure piaKlabu ya Manchester City imezindua sanamu za wachezaji wao wa zamani Vincent Kompany na David Silva kwenye uwanja wao wa Etihad kuelekea mchezo dhidi ya Arsenal leo.
Sanamu la tatu la Sergio Aguero linatarajiwa kukamilika mwakani.View attachment 1912591View attachment 1912592
Duh, watu mnamjua kuangalia!Wamekikosea kichwa Cha Kompany, kimekaa kama cha Refa mahiri Colina.
Halafu bila aibu Jiwe naye akaenda kuzindua hiki kituko?
Zamoyoni mogela, Mohammed mwamejaViongozi wangu wa Simba nashauri na sisi tumjengee sanamu kipa wetu bora kabisa Juma Kaseja
Amekuwa golikipa wetu ktk kiwango bora kabisa kwa takribani miaka 11
Viongozi wangu wa Simba nashauri na sisi tumjengee sanamu kipa wetu bora kabisa Juma Kaseja
Amekuwa golikipa wetu ktk kiwango bora kabisa kwa takribani miaka 11