Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 768
Nina uhakika katika timu bora kabisa kwa kipindi hiki na imekamilika kila sekta basi ni Man city,kwa maana wakubwa wote(Liverpool,Madrid,Barca,Inter,Psg,Juventus,Munich) wote asaiv wanaunga unga tu kupata matokeo .
ukiachana na zile takataka ambazo hazishiliki kabisa UEFA,mana hata zingekuwepo zisingeweza kumzuia jamaa namaanisha(Arsenal na Man U).
ukiachana na zile takataka ambazo hazishiliki kabisa UEFA,mana hata zingekuwepo zisingeweza kumzuia jamaa namaanisha(Arsenal na Man U).