Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Haji Manara hajawahi kuwa na hoja yenye mashiko kwa soka letu zaidi ya blah blah kama walivyo viongozi wengine wa Simba Koko, lakini heshima yake kama binadamu mwingine yeyote yule inapaswa kulindwa. Huyo aliyepost upuuzi huo anapaswa kuwajibishwa kwa matendo yake.