Manara: Kama uhuni huu wamefanya, tumesema Hatuchezi

Ni timu nyingine au ni hii hii iliyocheza kwa Mkapa?
Sijawai kuona ujinga Kama huu waliofanya rivars Kama huu wa Leo, unapofanya figisu basi uifanye kwa kutumia akili na sio kukurupuka kijingajinga,,unatoa majibu ya covid dk 45 kabla ya mechi husika alafu bado akuna certificate ya majibu ya covid kama mtu yuko positive au negative ni uhuni wa hali ya juu,,,yaani wanaambiwa fulani na Fulani anayo covid imeisha!!!! Sasa tunaingiza timu uwanjani na wachezaji wote wanacheza kwa maana atujapewa kithibitisho chochote kinachoonyesha wachezaji wamepatikana na corona ambacho ni certificate, kazi inaendelea
 
Mpira umeanza Rivers United vs Yanga.

Mechi kamishna Sulley Camara kutoka Sierra Leone amewaruhusu Yanga wacheze wote kwa kuwa hakuna cheti kuhalalisha kuwa wamekutwa na corona.
Kwa nini Azam hawarushi mechi? Unaangalia kutumia king'amuzi gani?
 
Sijawai kuona ujinga Kama huu waliofanya rivars Kama huu wa Leo, unapofanya figisu basi uifanye kwa kutumia akili na sio kukurupuka kijingajinga,,unatoa majibu ya covid dk 45 kabla ya mechi husika alafu bado akuna certificate ya majibu ya covid kama mtu yuko positive au negative ni uhuni wa hali ya juu,,,yaani wanaambiwa fulani na Fulani anayo covid imeisha!!!! Sasa tunaingiza timu uwanjani na wachezaji wote wanacheza kwa maana atujapewa kithibitisho chochote kinachoonyesha wachezaji wamepatikana na corona ambacho ni certificate, kazi inaendelea
Mkuu wewe upo Tandale unasema mnaingiza timu😁😁😁😁
 
Haji Manara: Hawajatoa mpaka sasa hivi certicates one hour kabla ya mechi. Hawajatuambia nani yuko positive nani yuko negative. Wanatuletea sasa hivi eti kuna wachezaji sita wako positive, Diara katumiwa email yuko negative. Tumesema hatuchezi, kama uhuni huu walioufanya, hatuchezi.

==========

Hii ni baada ya wachezaji tegemewa kukutwa na Corona. Nini Impact ya kugoma?

View attachment 1945015
View attachment 1945027
Haya ni matokeo ya sera mbovu za dikteta kuhusu covid, tujilaumu wenyewe
 
Haji Manara: Hawajatoa mpaka sasa hivi certicates one hour kabla ya mechi. Hawajatuambia nani yuko positive nani yuko negative. Wanatuletea sasa hivi eti kuna wachezaji sita wako positive, Diara katumiwa email yuko negative. Tumesema hatuchezi, kama uhuni huu walioufanya, hatuchezi.

==========

Hii ni baada ya wachezaji tegemewa kukutwa na Corona. Nini Impact ya kugoma?

View attachment 1945015
View attachment 1945027
Wote wamecheza na wamefungwa. Hamna kisingizio
 
Back
Top Bottom