NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Na watakaa huko karantin kwa siku 14 kwaiyo Kariakoo Darby hawatakuepo.
Kwenda next level sio kwa kutumia kiwango kikubwa cha figisu. Hata hao CAF wanaangalia utaratibu. Yanga wana point kubwa tu kwamba kwanini majibu yatoke muda mchache kabla ya mechi kuanza? Na kwanini majibu hayo hawataki kuwapa Yanga certificate ili wajionee? Na kwanini majibu ya Diarra yatoke ya aina mbili tofauti?Mpaka hapo sie Rivers united tumeshavuka kwenda next round.
Uto wanavuna walichopanda
Wangekuwa wema nyumbani haya yote yasingewakuta
Kweli africa mpira hautaendelea hizi ni fitina za wazi kabisa
Na watakaa huko karantin kwa siku 14 kwaiyo Kariakoo Darby hawatakuepo.
Hawa hawazijui fitina yaani wachezaji washafanya warm up, washachanyika then wanasema wachezaji wana Corona na tayari washa jichanganya na wenzao.Hii ni baada ya wachezaji tegemewa kukutwa na Corona. Nini Impact ya kugoma? View attachment 1945015
View attachment 1945027
Updates: Yanga wamekubali kuingiza timu uwanjani. Manara anasema wakapigane vita uwanjani!
Kwenda next level sio kwa kutumia kiwango kikubwa cha figisu. Hata hao CAF wanaangalia utaratibu. Yanga wana point kubwa tu kwamba kwanini majibu yatoke muda mchache kabla ya mechi kuanza? Na kwanini majibu hayo hawataki kuwapa Yanga certificate ili wajionee? Na kwanini majibu ya Diarra yatoke ya aina mbili tofauti?