POTIZILLAH
Member
- Apr 30, 2011
- 87
- 157
Mbona ni kawaida mtu kwenda kupiga picha na kitu anachokipenda au kupiga picha na mtu unaempenda au super staa, tena yeye bahati yake amepiga bure maana wengine huwa wanalipia hela nyingi tu kupata picha kama hizi