Sanctus Mtsimbe
JF-Expert Member
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 982
Wakulu;
Leo kuna Tender imetoka katika Gazeti la Daily News kwa ajili ya Management ya Uwanja Wetu Mpya wa Taifa (Naambatanisha Tangazo katika PDF Format). Kwa waliofuatilia miezi michache iliyopita kulikuwa na Invitation inayofanana na hii. Kwa hiyo ina maana Invitation inarudiwa.
Baada ya kufuatilia kwa nini inarudiwa inaonekana hakukuwa na serious response kutoka kwa Bidders wazuri. Aidha walioomba walikuwa wachache kuruhusu mchakato wa kupata kampuni bora kuendelea.
Wito wangu:
Uwanja wetu mpya wa Taifa ni mmoja kati ya vivutio vikubwa vya Mechi za Kimataifa, pia ni moja kati ya vitu vichache ambavyo Watanzania tunaweza kujivunia.
Ili kuhakikisha kuwa tunapata Managers Wazuri wa Uwanjaa huu, natoa wito kuwa kila ambaye ana contact za Kampuni Nzuri, awajulishe ili wajitokeze katika kushiriki kwenye Tender hii. Vinginevyo . . . . yanaweza kuwa yale yale . . . Binafsi niko tayari kusaidia nikihitajika.
Leo kuna Tender imetoka katika Gazeti la Daily News kwa ajili ya Management ya Uwanja Wetu Mpya wa Taifa (Naambatanisha Tangazo katika PDF Format). Kwa waliofuatilia miezi michache iliyopita kulikuwa na Invitation inayofanana na hii. Kwa hiyo ina maana Invitation inarudiwa.
Baada ya kufuatilia kwa nini inarudiwa inaonekana hakukuwa na serious response kutoka kwa Bidders wazuri. Aidha walioomba walikuwa wachache kuruhusu mchakato wa kupata kampuni bora kuendelea.
Wito wangu:
Uwanja wetu mpya wa Taifa ni mmoja kati ya vivutio vikubwa vya Mechi za Kimataifa, pia ni moja kati ya vitu vichache ambavyo Watanzania tunaweza kujivunia.
Ili kuhakikisha kuwa tunapata Managers Wazuri wa Uwanjaa huu, natoa wito kuwa kila ambaye ana contact za Kampuni Nzuri, awajulishe ili wajitokeze katika kushiriki kwenye Tender hii. Vinginevyo . . . . yanaweza kuwa yale yale . . . Binafsi niko tayari kusaidia nikihitajika.