Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
Kulikuwa na habari hapa kuwa CHADEMA imemwaga kitita cha milioni 9 kwenye uchaguzi wa serikali ya wanafunzi wa Chuo cha Ardhi jambo ambalo limesemwa lilikuwa ni "umbea", sasa hivi uongozi wa Chuo cha Ardhi ukiongozwa na Dean of Students umetinga Makao Makuu ya BAVICHA kumfuatilia mmoja wa wagombea wa urais Ardhi wakidai wanataka kuverify kama huyo mgombea si kiongozi wa BAVICHA kule Ilemela Mwanza.
Kwa wale tuliopita vyuo vikuu tunajua kuwa hata kama mtu angekuwa kiongozi wa Magamba, utawala wa chuo ungehakikisha mtu huyo anakuwa rais kwenye serikali ya wanafunzi.
Taarifa kutoka ardhi zinadokeza kuwa jamaa huyo ni tishio na anatarajiwa kushinda uchaguzi huo jambo ambalo utawala wa chuo hautaki.
Hii ni aibu kwa utawala wa chuo kufanya mambo ya kitoto kama haya.
Kwa wale tuliopita vyuo vikuu tunajua kuwa hata kama mtu angekuwa kiongozi wa Magamba, utawala wa chuo ungehakikisha mtu huyo anakuwa rais kwenye serikali ya wanafunzi.
Taarifa kutoka ardhi zinadokeza kuwa jamaa huyo ni tishio na anatarajiwa kushinda uchaguzi huo jambo ambalo utawala wa chuo hautaki.
Hii ni aibu kwa utawala wa chuo kufanya mambo ya kitoto kama haya.