Tegelezeni
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 268
- 124
Ni hivi punde nimepata ujumbe kutoka kwa mwana jamii Forum mwenzetu Mtambuzi kuwa amefiwa na baba yake na kesho anasafiri kwenda Moshi Kilimanjaro kwa mazishi. Tumuombee mwenzetu katika kipindi hiki kigumu cha msiba.