Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,798
Mathayo 10:8 inasema,
,"Pozeni wagonjwa,fufueni wafu,takaseni wenye ukoma,toeni pepo,mmepata BURE,toeni BURE".
Hivi kama kweli maono yenu ya unabii na utume mlipewa na Mungu, je mlimlipa Mungu Sh. ngapi? Ni dhahiri mlipewa bure kabisa, sasa kwanini nyie mnawauzia hao aliowatuma kuwaponya na kuwaokoa? Ni wazi kuwa huyu Mungu wa Mathayo 10:8 sio aliewatuma. Km angekua yeye ndo kawatuma mngelitii neno lake.
Huku Iringa Nabii Boaz anauza keki ya upako. Mwamposa anauza mafuta ya upako, Nabii Suguye anauza Stika za picha yake, n.k Nawaambia hata kama mnalitaja neno la Mungu namna gani,hata km mnafungisha watu ndoa,hata km mnaombea na kuponya watu kwa nguvu zenu, siku ya mwisho mtachomwa moto kwa kuenenda kinyume na maagizo yake. Mathayo 10:8 itawahukumu. Endeleeni kujifanya wajanja Mungu anawaona!!
Sent using Jamii Forums mobile app
,"Pozeni wagonjwa,fufueni wafu,takaseni wenye ukoma,toeni pepo,mmepata BURE,toeni BURE".
Hivi kama kweli maono yenu ya unabii na utume mlipewa na Mungu, je mlimlipa Mungu Sh. ngapi? Ni dhahiri mlipewa bure kabisa, sasa kwanini nyie mnawauzia hao aliowatuma kuwaponya na kuwaokoa? Ni wazi kuwa huyu Mungu wa Mathayo 10:8 sio aliewatuma. Km angekua yeye ndo kawatuma mngelitii neno lake.
Huku Iringa Nabii Boaz anauza keki ya upako. Mwamposa anauza mafuta ya upako, Nabii Suguye anauza Stika za picha yake, n.k Nawaambia hata kama mnalitaja neno la Mungu namna gani,hata km mnafungisha watu ndoa,hata km mnaombea na kuponya watu kwa nguvu zenu, siku ya mwisho mtachomwa moto kwa kuenenda kinyume na maagizo yake. Mathayo 10:8 itawahukumu. Endeleeni kujifanya wajanja Mungu anawaona!!
Sent using Jamii Forums mobile app