MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
Shalom! kwa mda kama mwezi mmoja hivi siwaoni hawa wapendwa live kwenye mtandao eg.u stsream wakifanya huduma wanaifanya kila mwaka tanzania na nje ya tz,sjui kuna tatizo gani upande wa it au wameamua kufanya kimya kimya.Kwa anayejua wako wapi kwa sasa anipe updates.thanks