Mana ministry(christopher&diana mwakasege) wako wapi?

MEXICANA

JF-Expert Member
Nov 16, 2014
1,772
2,032
Shalom! kwa mda kama mwezi mmoja hivi siwaoni hawa wapendwa live kwenye mtandao eg.u stsream wakifanya huduma wanaifanya kila mwaka tanzania na nje ya tz,sjui kuna tatizo gani upande wa it au wameamua kufanya kimya kimya.Kwa anayejua wako wapi kwa sasa anipe updates.thanks
 
Shalom! kwa mda kama mwezi mmoja hivi siwaoni hawa wapendwa live kwenye mtandao eg.u stsream wakifanya huduma wanaifanya kila mwaka tanzania na nje ya tz,sjui kuna tatizo gani upande wa it au wameamua kufanya kimya kimya.Kwa anayejua wako wapi kwa sasa anipe updates.thanks

na yule aliyetamba na maubiri ya bashite bila mstari wowote kwenye bibilia yupo
 
Fuatilia ratiba ya semina.
Sio kila siku yupo hewani noooo.
Kuna ratiba kwa mwaka mzima..

Mwezi wa 5 alikuwa dar alikuwa live ustream ytb tv na radio
 
Fuatilia ratiba ya semina.
Sio kila siku yupo hewani noooo.
Kuna ratiba kwa mwaka mzima..

Mwezi wa 5 alikuwa dar alikuwa live ustream ytb tv na radio
website yao wanaratiba ya mwaka jana ya mwaka hawajaweka,pia naelewa sio kila siku wapo hewani ila kila semina huwa live u stream,naskia wamefanya tabora mwezi jana maana yake haikurushwa online
 
lakini haikuruka live ningewapata m nafuatila sana hii huduma nadhani upande wa it kuna tatizo limewakumba Mungu awatie nguvu zaid
Kuna baadhi tu ya redio ndo walirusha mi huwa naskiliza kwenye web yao huwa wanarusha live
 
Kuna mambo mawili kama sio 3 ndo nisababishi cha wao kutokuwa live
1>kuna kile kisheria kiliitikisa jf nazani hadi yeye kilileta usumbufu
2>kufanya mambo kama hayo ni cost kubwa sana na waumini Kwa kiasi kikubwa wamepunguza kutoa ili waweze endelea na huduma lazima wapunguze cost
3>labda kaamua kufanya Kwa watu wachache tu asikodo maukumbi makubwa
 
Kuna mambo mawili kama sio 3 ndo nisababishi cha wao kutokuwa live
1>kuna kile kisheria kiliitikisa jf nazani hadi yeye kilileta usumbufu
2>kufanya mambo kama hayo ni cost kubwa sana na waumini Kwa kiasi kikubwa wamepunguza kutoa ili waweze endelea na huduma lazima wapunguze cost
3>labda kaamua kufanya Kwa watu wachache tu asikodo maukumbi makubwa
labda ile sheria kweli lakini haya mawili sio kweli
 
Back
Top Bottom