Man with 39 wives, 94 children wants to have more

Wives_01_1254847a.jpg

Family fortunes ... Ziona Chana and his wives


The "Chanas" at No9 comprises 181 members - and none of them is on benefits.

Dad Ziona has 39 wives, 94 children, 14 daughters-in-law and 33 grandchildren - all living together under one roof. 181 family members in one house | The Sun |Woman|Real Life

This is absurd in the modern world.It is impossible to marry women 39, you can not serve effectively all of them, marriage is not eating and sleeping, requires direct communication between the two who are married, with 39 women this is impossible .
 
Kweli jamaa ni kidume cha mambegu na siyo cha mbegu?hawezi sahau akatongoza na mabinti zake kweli?
 
Teh teh Huyu kidume kweli kweli.. lakini Mbona umri kama wanalingana? aliwaoa pamoja au!
 
Kumbe sheria ya kuzuia kuoa wake wanne tu is an "ideal law" maana watu wengine wakipewa ruhusa hupitiliza lol.
 
Hasije akawa kama mfanya biashara mmoja aitwaye Munanka Samo, miaka ya nyuma alikuwa na wanawake zaidi 50 na siku moja katika matembezi aliona binti mmoja mzuri. Akamwambia mmoja wa wakewe aliyekuwa ameambatana naye kwenye matembezi kuwa anataka amuongeze huyo binti kama mke mdogo. Yule mkewe akamwambia kuwa yule alikuwa ni binti ya mzee kwa mke mwingine. That was real sad. Kama yule mama hasingekuwa anamtambua mtoto wa mke mwenza, mzee kwa kuwa na mali nyingi na majigambo ya kuoa wake wengi angeweza kumdonoa mwanaye bila kujua.
 
wakati siku hizi unakuta mtu ana mke mmoja na anashindwa kutimiza
majukumu yake hebu oneni mfano tosha......


Man has 39 wives, nearly 100 children


– Tue Feb 22, 11:45 am ET
GUWAHATI, India (Reuters) – The more, the merrier is certainly true for Ziona Chana, a 66-year-old man in India's remote northeast who has 39 wives, 94 children and 33 grandchildren -- and wouldn't mind having more.
They all live in a four storied building with 100 rooms in a mountainous village in Mizoram state, sharing borders with Myanmar and Bangladesh, media reports said.
"I once married 10 women in one year," he was quoted as saying.
His wives share a dormitory near Ziona's private bedroom and locals said he likes to have seven or eight of them by his side at all times.
The sons and their wives, and all their children, live in different rooms in the same building, but share a common kitchen.
The wives take turns cooking, while his daughters clean the house and do washing. The men do outdoor jobs like farming and taking care of livestock.
The family, all 167 of them, consumes around 91 kg (200 pounds) of rice and more than 59 kg (130 pounds) of potatoes a day. They are supported by their own resources and occasional donations from followers.
"Even today, I am ready to expand my family and willing to go to any extent to marry," Ziona said.
"I have so many people to care (for) and look after, and I consider myself a lucky man."
Ziona met his oldest wife, who is three years older than he is, when he was 17.
He heads a local Christian religious sect, called the "Chana," which allows polygamy. Formed in June 1942, the sect believes it will soon be ruling the world with Christ and has a membership of around 400 families.
(Reporting by Biswajyoti Das, editing by Elaine Lies)
 
:A S 13:kuweni basi hivyo.....muwe tu wazi na wenye uwezo wa kutunza.....:rain:
 
Man with 39 wives, 94 children wants to have more 10 hours ago by ?*Owen Weldon World - 1*comment Listen to this article (by ReadSpeaker) An Indian man who has more than 30 wives and more than 90 children has just announced that he is looking to extend his huge family. ? ? Share Tweet Ziona Chana is a 66-year-old man who is the leader of a Christian religious sect called the Chana. Chana is married to 39 women and he has 94 children. Chana lives in northeastern India, in a 100-room, four-story home. Chana says that he once married 10 women in just one year alone. Sources say that the enormous family consumes around 200lbs of rice and around 130lbs of potatoes every single day, according to the Post Chronicle. Rinkmini is one of Chana's wives, and she says that Chana is the most important person in the house, as well as the most handsome person in the entire village that they live in. Chana told sources that he is willing to go to any extent to get married again. He says that he is ready to expand his family. Everybody works as a team to get the cleaning done, take care of the family and they work together to eat. The wives are kept in a dormitory. Chana marries poor women in the village so that he can look after them and take care of them, according to one of Chana's sons. Chana says that he considers himself to be a lucky man. He met his oldest wife when he was just 17, and she is three years older than Chana, Gulf News reprots. The religious sect allows polygamy, and the sect was formed in 1942. As of now the sect has a membership of around 400 families.
 
Bwana mmoja nchini India, mwenye wake thelatini na tisa, amesema hatojali sana iwapo atapata wake wengine wa kuwaoa. Bwana huyo, Ziona Chana, anaishi katika kijiji kimoja cha mbali, kaskazinimashariki mwa India, pia ana watoto tisini na wanne, na wajukuu thelathini na watatu.
110226131153_ziona_chana_466x350_amazingfacts_nocredit.jpg



Bwana Chana akiwa na familia yake

Shirika la habari la Reuters limesema wote hao wanaishi katika nyumba moja yenye vyumba mia moja, katika kijiji cha milimani kwenye jimbo la Mizoram, karibu na mpaka na Myanmar na Bangladesh.

"Kuna wakati nilioa wake kumi katika kipindi cha mwaka mmoja" amekaririwa bwana huyo akisema.

Wake zake wanaishi pamoja katika bweni moja kubwa karibu na chumba cha bwana Ziona, na wenyeji wa huko wanasema hupendelea kuwa na wake zake saba au nane kila wakati.
 
hii thread ni kama nilisha iona hapa janvin sometime behind na watu wakachangia,.....
 
hii thread ni kama nilisha iona hapa janvin sometime behind na watu wakachangia,.....
hiuyo ulioiona mimi ndio nilioweka,na hazifanani

yule alikuwa ni babu ingawaje anatokea India
labda kumbukumbu kidogo zimetoka mkuu
 
Back
Top Bottom