Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,734
- 7,672
We ulitaka Aongeeje? Unataka aongee unavyotaka Wewe?Sio kweli kiba hawezi kulipa hiyo hela ni dharau,jeuri na kujiona mjuaji na kutaka kumkomoa jamaa, nothing else, nimesikiliza interview yake kaongea kwa dharau sana yule broh