mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
Hakuna sababu yoyte ya maana kwa nini kikosi ni duni. Kocha anamchango mkubwa kea kufanya vibaya, kucheza chini ya kiwango. Nawaona wachezaji hawana presha. Sioni sababu kwa nn Pogba anacheza kijinga hivyo
Ni sawa na Siasa tabia ya kocha ndio hivyohivyo timu ilivyo haifanyi Vema.
Nawaelewa wazumgu wakisema boss was ndio tatizo.... mkurugenz alivyoifanya timu Kama genge lake. Anatukwaza Sana. Morinho hafai hafai ondoa
Ni sawa na Siasa tabia ya kocha ndio hivyohivyo timu ilivyo haifanyi Vema.
Nawaelewa wazumgu wakisema boss was ndio tatizo.... mkurugenz alivyoifanya timu Kama genge lake. Anatukwaza Sana. Morinho hafai hafai ondoa