Man Sues His Neighbor For Failure To Impregnate His Wife

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,938
1,437
Paid to do it, but fails to make his friend's wife pregnant after 72
Attempts

A nice story, with surprising end:

In Stuttgart, Germany, a court judge must decide on a case of honorable intentions in a situation where a man hired his neighbor to get his wife pregnant.

It seems that Demetrius Soupolos, 29, and his former beauty queen wife, Traute, wanted a child badly, but Demetrius was told by a doctor that he was sterile. So, Soupolos, after calming his wife's protests, hired his neighbor, Frank
Maus, 34, to impregnate her. Since Maus was already married and the father of two children, plus looked very much like Soupolos to boot, the plan seemed good.

Soupolos paid Maus $2,500 for the job and for three evenings a week for the next six months, Maus tried desperately, a total of 72 different times, to impregnate Traute.

When his own wife objected, he explained, "I don't like this any more than you. I'm simply doing it for the money. Try and understand."

When Traute failed to get pregnant after six months, however, Soupolos was not understanding and insisted that Maus have a medical examination, which he did.

The doctor's announcement that Maus was also sterile shocked everyone except his wife, who was forced to confess that Maus was not the real father of their two children.

Now Soupolos is suing Maus for breach of contract in an effort to get his
money back, but Maus refuses to give it up because he said he did not
guarantee conception, but only that he would give an honest effort.


source German Man Sues His Neighbor For Failure To Impregnate His Wife - rec.sport.cricket | Google Groups
Jambo limezua jambo. Ungekuwa hakimu Hukumu yako ingekuwaje ?
 
ngoja nikapate vyombo kwa pale Kirima bar.... labda nitalichakachua vema hili!!
 
kama namuona huyo mke mwenye watoto wasio wa mumewe,alivyoshikwa na kihoro baada ya kusikia hilo deal...hahahah
 
Kwa kweli wanaume tuna wakati mgumu sana. Maana siku zote huwa tunaamini kwamba tunalea watoto wetu kumbe ni wa majirani zetu. Kweli mjukuu wa kweli ni wa kwa mtoto wa kike. Sasa hivi nampango wa kwenda kupima DNA watoto wangu wote, ili nijue kabisa nalea wa kwangu au wa rafiki yangu. Hebu nipeni uzoefu wa kwenda kupima DNA jamani.
 
Kwa kweli wanaume tuna wakati mgumu sana. Maana siku zote huwa tunaamini kwamba tunalea watoto wetu kumbe ni wa majirani zetu. Kweli mjukuu wa kweli ni wa kwa mtoto wa kike. Sasa hivi nampango wa kwenda kupima DNA watoto wangu wote, ili nijue kabisa nalea wa kwangu au wa rafiki yangu. Hebu nipeni uzoefu wa kwenda kupima DNA jamani.

Mkuu sasa msingi wa Penzi si imani. na imani kuwa wewe na mwenzako wote mko faithfull.Sasa ikifikia kupima DNA penzi si llinakuwa limeshamongonyoka

Hii true story ina maana jaamaa asingepata dili ya jirani asingejua . Unaweza kukuta hata hao watoto wangeoa au kuolewa na dada au kaka zao wa damu.
 
Kwa kweli wanaume tuna wakati mgumu sana. Maana siku zote huwa tunaamini kwamba tunalea watoto wetu kumbe ni wa majirani zetu. Kweli mjukuu wa kweli ni wa kwa mtoto wa kike. Sasa hivi nampango wa kwenda kupima DNA watoto wangu wote, ili nijue kabisa nalea wa kwangu au wa rafiki yangu. Hebu nipeni uzoefu wa kwenda kupima DNA jamani.


mnh ukishafanya hio DNA test,halafu ndio itakuwaje??
una uhakika na wewe huyo unayemuita baba ni baba yako mzazi..au na yeye utataka ukafanye DNA test...?
lea,kama sio wa kwako wewe sio wa kwanza kulea watoto wasio wako..LOL:redfaces::party:
 
mnh ukishafanya hio DNA test,halafu ndio itakuwaje??
una uhakika na wewe huyo unayemuita baba ni baba yako mzazi..au na yeye utataka ukafanye DNA test...?
lea,kama sio wa kwako wewe sio wa kwanza kulea watoto wasio wako..LOL:redfaces::party:

Duh, inaonekana wewe tayari ushambambikia mtu mtoto huko!! Ha ha ha mbona unatetea utaratibu wa kulea watoto wasio wetu? Kama aliyenilea hakuwa babangu basi bahati yake ila hawa wa kwangu lazima niprove kabla sijaendelea kuingia gharama zaidi. Maana ukija ambawa si wako wakati ushamaliza kusomesha nadhani unaweza kufa ghafla. Bora ujue tangu bado wadogo.
 
Mkuu sasa msingi wa Penzi si imani. na imani kuwa wewe na mwenzako wote mko faithfull.Sasa ikifikia kupima DNA penzi si llinakuwa limeshamongonyoka

Hii true story ina maana jaamaa asingepata dili ya jirani asingejua . Unaweza kukuta hata hao watoto wangeoa au kuolewa na dada au kaka zao wa damu.

Kwani unapoenda kupima lazima umwambie mwanzako? Si unachukua tu mtoto unakwenda naye hospitali? Hizi imani zetu zinazozidi mipaka kwa wale tunaowapenda, zinafika mahali zinakuwa mzigo kwetu. Just imagine huyo jamaa alikuwa katika hali gani baada ya kujua hilo?

Hapo ndo watu wanapotezaga maisha hivhivi! Bora ujue kabisa tangu mapema kwamba unalelea wenzako.
 
mnh ukishafanya hio DNA test,halafu ndio itakuwaje??
una uhakika na wewe huyo unayemuita baba ni baba yako mzazi..au na yeye utataka ukafanye DNA test...?
lea,kama sio wa kwako wewe sio wa kwanza kulea watoto wasio wako..LOL:redfaces::party:

ni kweli umenipa wazo ntaenda kufanya DNA test ili nijue kama kweli namuita baba mtu ambaye ni baba yangu mzazi isije ikawa kalagha bhao.
 
kama unaisi kwamba mke ni kicheche unafikiri utafanyaje?nafikiri hii procedure ya kupima DNA test ingerahisishwa!
 
Paid to do it, but fails to make his friend's wife pregnant after 72
Attempts

A nice story, with surprising end:

Jambo limezua jambo. Ungekuwa hakimu Hukumu yako ingekuwaje ?

hapo ndio ujue kuwa ktk fani zilizopo duniani basi ukiwa mwanasheria lazima uwe na akili timamu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom