Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 997
Katambi, mashinji, nasarii, et al. Hawa ni vikindaaaa,Ester amekomaa, huyo ni wa CDM!
Hovyoo kabisa wewe
Katambi, mashinji, nasarii, et al. Hawa ni vikindaaaa,Ester amekomaa, huyo ni wa CDM!
Katambi unamfananisha na Bulaya ! una akili timamu kweli wewe ?Katambi, mashinji, nasarii, et al. Hawa ni vikindaaaa,
Hovyoo kabisa wewe
I truly believe so too!ACT itatumika kama condom kwenye huu uchaguzi. ACT Ni kinga ya CCM.
Yaani 95% ya wabunge na madiwani wa ccm woote hakuna mwenye mapenzi ya dhati na chama chao, wao kipau mbele chao ni maslahi tu.
Huu uwe ni mfano halisi wa wabunge wa ccm
Kikwete hakukosea aliposema, “ccm kuna mafisi.”
Chadema 2015 hamkujua kuwa mnatumika kama Condom? Unaifanya CCM ionekane kibeberu cheusi afu opposition vimbuzi jike. Hivi kumbe ndio maana Magufuli haelewani na Mabeberu wenzake maana vidume havikai zizi moja, Upinzani Tanzania na hata Africa kiujumla bado sana, kote upinzani walikopewa nchi mambo yamekuwa worsen up.ACT itatumika kama condom kwenye huu uchaguzi. ACT Ni kinga ya CCM.
Hata esta bulaya naye sio wa kumwamini?
Hivi Membe yuko wapi?Ma-CCM sio wa kuwaamini kabisa!
Membe nae atarudi tu.
Ipo siku TUNDU LISU nae ataenda TLP over.
Huyu anaitwa Hassan Masala ambaye alikuwa mbunge wa Nachingwea kwa tiketi ya CCM Bunge lililopita, baada ya kupigwa chini kwenye uteuzi akahamia ACT-Wazalendo na kuchukua fomu ya kugombea Ubunge, kura zake hazikutosha .
Leo tena kaamua kurudi CCM.