Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,369
- 217,429
Huyu anaitwa Hassan Masala ambaye alikuwa mbunge wa Nachingwea kwa tiketi ya CCM Bunge lililopita, baada ya kupigwa chini kwenye uteuzi akahamia ACT-Wazalendo na kuchukua fomu ya kugombea Ubunge, kura zake hazikutosha .
Leo tena kaamua kurudi CCM.