Mamluki wa UVCCM wajipenyeza BAVICHA ili kuongeza nguvu kuuvuruga mkutano mkuu wa CCM Dodoma

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Ikiwa imebaki siku mbili makamanda tutue rasmi Dodoma kwa maandalizi kabambe ya kuanzisha "Dodoma Movement for Democracy in Tanzania" tumepata taarifa za uhakika kuwa wapo mamluki wa UVCCM waliotumwa na baadhi ya vigogo ndani ya CCM kwa lengo la kutimiza azima yao ya kuuvuruga mkutano mkuu wa CCM kwa ajili ya maslahi yao binafsi.

Sisi tunawataadharisha kuwa msithubutu kufanya hivyo maana tutaanza kwanza kuwadhibiti nyinyi ndipo tusonge mbele kutekeleza azimio letu la kuilinda na kuidumisha demokrasia.

Tunaomba hao mamluki watuelewe kuwa lengo lao kamwe halishahabiani na letu, sisi tuna nia yetu na wao wana nia yao. Wao
 
Ikiwa imebaki siku mbili makamanda tutue rasmi Dodoma kwa maandalizi kabambe ya kuanzisha "Dodoma Movement for Democracy in Tanzania" tumepata taarifa za uhakika kuwa wapo mamluki wa UVCCM waliotumwa na baadhi ya vigogo ndani ya CCM kwa lengo la kutimiza azima yao ya kuuvuruga mkutano mkuu wa CCM kwa ajili ya maslahi yao binafsi.

Sisi tunawataadharisha kuwa msithubutu kufanya hivyo maana tutaanza kwanza kuwadhibiti nyinyi ndipo tusonge mbele kutekeleza azimio letu la kuilinda na kuidumisha demokrasia.

Tunaomba hao mamluki watuelewe kuwa lengo lao kamwe halishahabiani na letu, sisi tuna nia yetu na wao wana nia yao. Wao
Radhi ndani ya kikosi
 
Kama sio porojo
Wataje hata mmoja.
Tatizo Vijana WA Cdm
Mnapenda siasa za kinafiki
Habari za kizushi kwenu sifa.
MTU akileta habari ya kuisifia cdm hata kama niugoro mtashangilia.
Mmemuona Lizaboni Jana ameleta habari bila unafiki
Jifunzeni muache kuwa Vibendera.
 
Kama sio porojo
Mataje hata mmoja.
Tatizo Vijana WA Cdm
Mnapenda siasa za kinafiki
Habari za kizushi kwenu sifa.
MTU akileta habari ya kuisifia cdm hata kama niugoro mtashangilia.
Mmemuona Lizaboni Jana ameleta habari bila unafiki
Jifunzeni muache kuwa Vibendera.
Mamluki hawahitajiki
 
kwanini unawaambia magamba?hili swala tayari tumeishapewa siri na jinsi ya kujipanga tukiwa na umoja wa vijana ccm nao wako kwetu subiri hii picha kuanza tarehe 21.nao wanakuja kuisaidia police bila shuruti.


swissme


swissme
 
Lizaboni na. Unafiki ni. Vitu ambavyo huwezi kuvitenganisha
Kama sio porojo
Mataje hata mmoja.
Tatizo Vijana WA Cdm
Mnapenda siasa za kinafiki
Habari za kizushi kwenu sifa.
MTU akileta habari ya kuisifia cdm hata kama niugoro mtashangilia.
Mmemuona Lizaboni Jana ameleta habari bila unafiki
Jifunzeni muache kuwa Vibendera.
 
Kama sio porojo
Mataje hata mmoja.
Tatizo Vijana WA Cdm
Mnapenda siasa za kinafiki
Habari za kizushi kwenu sifa.
MTU akileta habari ya kuisifia cdm hata kama niugoro mtashangilia.
Mmemuona Lizaboni Jana ameleta habari bila unafiki
Jifunzeni muache kuwa Vibendera.
Mkuu, hawa BAVICHA akili zao zimeshikiwa na Mbowe. Hapo walipo ni kama misukule vile. Mbowe ameshawaambia wasiende Dodoma sasa sijui hicho kiburi wanakipata wapi. Subiri watandikwe na Polisi na safari hii wasilalamike tena kwa maana ukiwa kiburi, uwe tayari na matokeo yake
 
Kama sio porojo
Mataje hata mmoja.
Tatizo Vijana WA Cdm
Mnapenda siasa za kinafiki
Habari za kizushi kwenu sifa.
MTU akileta habari ya kuisifia cdm hata kama niugoro mtashangilia.
Mmemuona Lizaboni Jana ameleta habari bila unafiki
Jifunzeni muache kuwa Vibendera.

Lizaboni MOTOCHINI. tuko na msg zao .


swissme
 
Ikiwa imebaki siku mbili makamanda tutue rasmi Dodoma kwa maandalizi kabambe ya kuanzisha "Dodoma Movement for Democracy in Tanzania" tumepata taarifa za uhakika kuwa wapo mamluki wa UVCCM waliotumwa na baadhi ya vigogo ndani ya CCM kwa lengo la kutimiza azima yao ya kuuvuruga mkutano mkuu wa CCM kwa ajili ya maslahi yao binafsi.

Sisi tunawataadharisha kuwa msithubutu kufanya hivyo maana tutaanza kwanza kuwadhibiti nyinyi ndipo tusonge mbele kutekeleza azimio letu la kuilinda na kuidumisha demokrasia.

Tunaomba hao mamluki watuelewe kuwa lengo lao kamwe halishahabiani na letu, sisi tuna nia yetu na wao wana nia yao. Wao
Hao BAVICHA walikatazwa na wakuu wao wa chama. Kinachofanya wakengeuke ni nini?
 
Mkuu, hawa BAVICHA akili zao zimeshikiwa na Mbowe. Hapo walipo ni kama misukule vile. Mbowe ameshawaambia wasiende Dodoma sasa sijui hicho kiburi wanakipata wapi. Subiri watandikwe na Polisi na safari hii wasilalamike tena kwa maana ukiwa kiburi, uwe tayari na matokeo yake
wewe mbona humo kwenye list ya kutotaka Magu apewe uwenyekiti? mbona unatuchanganya na wewe ndiye uliyetumwa makatibu kuwa wanaanda vijana wa UVCCM hili waungane na chadema?au unaficha makucha yako


swissme
 
Mkuu, hawa BAVICHA akili zao zimeshikiwa na Mbowe. Hapo walipo ni kama misukule vile. Mbowe ameshawaambia wasiende Dodoma sasa sijui hicho kiburi wanakipata wapi. Subiri watandikwe na Polisi na safari hii wasilalamike tena kwa maana ukiwa kiburi, uwe tayari na matokeo yake
mbowe kajitoa lawama ili mambo yakiharibika aseme aliwakataza wasiende dodoma
 
Mkuu, hawa BAVICHA akili zao zimeshikiwa na Mbowe. Hapo walipo ni kama misukule vile. Mbowe ameshawaambia wasiende Dodoma sasa sijui hicho kiburi wanakipata wapi. Subiri watandikwe na Polisi na safari hii wasilalamike tena kwa maana ukiwa kiburi, uwe tayari na matokeo yake

Umenena mkuu
Hawa litakalo wapata wamejitakia wenyewe
 
l
Kwani mmemuasi mbowe?
Haya nendeni,Je,Mtarudi na roho zenu?
Lizaboni amajuwa mchongo maana tumeandikiwa barua pepe kuwa kuna vijana wa c tutakuwa nao kwenda kuisaidia police bila shuruti muulize Lizaboni.hapa anajificha tu.

swissme
 
Back
Top Bottom