Mamlaka za Saudi Arabia zapiga marufuki bidhaa zote zenye upinde wa mvua ikiwemo nguo na Midoli

I am Groot

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
3,730
10,033
Nchi ya Saudi Arabia imepiga marufuku vitu vyote vyenye mionekano ya upinde wa mvua ikiwemo nguo na midoli. Huku wakieleza kuwa vinahamasisha matendo yaliyo kinyume na sheria za kiislamu kama mahusiano ya jinsia moja.

Kwa mujibu wa sheria wa nchi hiyo; yeyote atakaye gundulika kujihusisha na vitendo hivyo adhabu yake ni kifo au viboko. Itategemea na kesi itachukuliwa kwa uzito gani.

Pia, imepiga marufuku kwa wanaume kujifanya mwanamke au kuigiza kwa namna yoyote kama mwanamke; kwa kuvaa nguo za kike na hivyo hivyo kwa wanawake kufanya kinyume chake.

images (3).jpeg
 
Wanapinga lakn ndio waf..ji wakubwa

mbona wanawalazimisha kitu ambacho wao wamepinga hadharani? hayo ya gizani ni wao na Mungu wao...sisi tunachukua msimamo wao mbele ya dunia nzima, mpaka sasa tumesikia SAUDIA wamepinga hadharani ushoga...

sasa jaribu kufanya jaribio kwenda Saudia uvae nguo za kike ukiwa mwanaume hadharani ili uhakikishe kama kweli au sio..

Binafsi nakughalamia tiketi ya kwenda na kurudi Jedah, kwa sharti la kujifanya shoga au kuvaa nguo za kike tuone kweli au si kweli..
 
Jmbo ili linatakiwa kukemewa vikali sio viongozi kukikalia kimya
Nchi ya Saudi Arabia imepiga marufuku vitu vyote vyenye mionekano ya upinde wa mvua ikiwemo nguo na midoli. Huku wakieleza kuwa vinahamasisha matendo yaliyo kinyume na sheria za kiislamu kama mahusiano ya jinsia moja.

Kwa mujibu wa sheria wa nchi hiyo; yeyote atakaye gundulika kujihusisha na vitendo hivyo adhabu yake ni kifo au viboko. Itategemea na kesi itachukuliwa kwa uzito gani.

Pia, imepiga marufuku kwa wanaume kujifanya mwanamke au kuigiza kwa namna yoyote kama mwanamke; kwa kuvaa nguo za kike na hivyo hivyo kwa wanawake kufanya kinyume chake.View attachment 2261995
 
Uzuri wa uislamu bhana cha halali huwez kukifanya kiwe cha haramu na cha haramu huwez kukifanya kiwe cha halali maana mambo yote yameshaelezwa katika kitabu na sunah
Tafiti kipindi cha mwezi wetu mtukufu kwanini kitimoto hudoda sana kwenye mabucha kisha utaelewa kuwa hujui chochote kile kuhusu dini ya haki.

Imani bila matendo ni upuuzi tu, na imani ipo ndani ya Mtu mwenyewe binafsi wala si katika vitabu pekee.
 
Tafiti kipindi cha mwezi wetu mtukufu kwanini kitimoto hudoda sana kwenye mabucha kisha utaelewa kuwa hujui chochote kile kuhusu dini ya mnyaazi mungu.

Imani bila matendo ni upuuzi tu, na imani ipo ndani ya Mtu mwenyewe binafsi wala si katika vitabu pekee.
Kiongozi unawazungumzia waislamu sasa hatakama ni kweli wanakula lakini uislamu hauruhusu , na wanakula kwa matamanio yao, ila katika dini yetu ni haramu.
 
Back
Top Bottom