Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa NIDA,kupitia mkurugenzi wake,wamekanusha kubaini vyeti feki ktk JWTZ na Polisi,katika tamko hilo NIDA wamesisitiza kuwa wao hawana uwezo wala mamlaka ya kubaini vyeti feki...na hivyo taarifa zilizotelewa na kunukuliwa ktk vyombo vya habari ni upotoshaji!
Mkurugenzi ndugu Maimu,amesisitiza kuwa sintofahamu ya JWTZ na Polisi si ktk vyeti tu,bali ktk nyaraka nyingine zaidi ya vyeti vya kitaaluma..
Maana upatikanaji wa vitambulisho unahusisha cheti cha kuzaliwa, Personal Record Form,barua toka kwa Mtendaji wa Mtaa,Uthibitisho wa barua ya kuitwa kazini n.k!!hivyo ktk hayo uwenda ni kipengele cha Personal Record Form ndo hakikuwa sahihi na si pengine vyeti vya kughushi..hivyo NIDA inaziachia Mamlaka(Necta? UWT?) husika kuthibitisha kama JWTZ na Polisi wana vyeti feki
Kama kweli tunaweza kuwa wakweli tunaweza kukubaliana kuwa kuna vitendo vingi vya kugushi na kuna watu kweye nyadhifa kubwa wana phd za ajabu, wengine wanazo za kuokota au za kupewa sioni ajabu, kama polisi na jeshi watakuwa nazo nyingi, sio haki watu wa juu waweze kufanya hivyo na wa chini wasifanye hivyo.