Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,500
- 7,104
Wangeweka izo daladala zenye AC ingekuwa poa sanaKipindi cha nyuma pale Mwenge kulikuwa na daladala za mbezi ila unalipa 1000. Sijui kama sasa yapo.
Full AC, level seat na hakuna kusimama hovyo njiani labda kama unashuka.
Wengi waliyakimbilia kwasababu yalikuwa yanapita njia ya chuo.