Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MTUWASA) yaagiza mchanga toka Uturuki

mashonga

JF-Expert Member
Nov 30, 2013
594
967
Mamalaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MTUWASA) mkoani Mtwara imelazimika kuagiza mchanga wenye ubora kutoka nchini Uturuki ili utumike kwenye chujio la kusafisha maji yanayotumiwa na wakazi wa Mtwara.

Chanzo: ukurawa wa facebook wa ITV.

Wale wajuzi wa sekta ya maji naomba kuelimishwa kidogo juu ya hili, au tumerudi zama za upigaji?
 
Kwa Sasa Hali ilivyo Tozonia ni Bora ukaendelea kutafuta mkate wa familia yako ndugu yangu, utaumiza kichwa kwa maamuzi ya ajabu yanayofanywa na "watukufu wetu"

Tuendelee kuupiga mwingi
 
Dah huo mchanga una nn Cha ziada na wetu

Je mamlaka nyingine za maji DAWASA RUWASA SUWASA zimefanikiwa vp bila mchanga huo kutoka uturuki?

Dah nchi yangu inaenda mbele zaidi haya ndyo maendeleo tuliyohitaji ikiwezekana hata maji waagize Saudi Arabia maji yao mazuri Sana

,,,TZ kwa Sasa n shamba la Bibi...
 
Back
Top Bottom