Mamlaka ya kusimamia bima na maafa ya zanzibar

2015

Senior Member
Aug 13, 2011
123
40
Wadau,
Ni wakati watanzania kwa ujumla tujiulize ni nini majukumu ya mamlaka ya bima Tanzania (Tanzania insuarance regulatory authority) inapaswa kuyafanya juu ya maafa mazito yaliyowakumba wazanzibar.
Kisheria kila meli lazima iwe na marine insurance ambayo inawa-cover kila mtu aliyejeruhiwa au kufa ktk meli husika. Je hawa TIRA watahakikisha haki hii ya msingi inapatikana kwa wafiwa? Tumeona EWURA ilivyofanya kazi juu ya wauza mafuta na sasa tunataka TIRA nao waige angalau kwa hili moja kubwa.
 
@ 2015 Kuna taratibu za kufuata na kwa hili kuna mapungufu yanayoashiria hata bima itakataa kulipa so hapo utailaumu TIRA BURE.
Umekwisha kusikia meli ilizidisha mzigo na abiria walikuwa wamezidi kuzidi ile idadi inayotakiwa, na bima ya chombo chochote cha usafirishaji wa abiria inakwenda kulingana na uwezo wa idadi ya abiria, that is one is suppose to insure according to seating capacity. Sasa hapo yupi utamlipa yupi umuache na tunajulishwa tiketi zilizokatwa Zanzibar pekee ni 1700 na seating capacity ya meli haizidi 650.

Vilevile unatakiwa kufanya tafiti maana inasemekana SUMATRA waliikataa hii meli wakidai haina viwango lakini kwa kuwa kulikuwa na mkono wa mtu wa baraza la wawakilishi meli hii iliruhusiwa kufanya kazi na SUMATRA waliambiwa wasiingilie mambo ya muungano na wao wqakafunga ofisi zao za Zanzibar sina hakika na hili bati ni info nilizopata from a believable source.

The insurance claim is absolutely suppose to be repudiated/ NOT PAYABLE
 
@ 2015 Kuna taratibu za kufuata na kwa hili kuna mapungufu yanayoashiria hata bima itakataa kulipa so hapo utailaumu TIRA BURE.
Umekwisha kusikia meli ilizidisha mzigo na abiria walikuwa wamezidi kuzidi ile idadi inayotakiwa, na bima ya chombo chochote cha usafirishaji wa abiria inakwenda kulingana na uwezo wa idadi ya abiria, that is one is suppose to insure according to seating capacity. Sasa hapo yupi utamlipa yupi umuache na tunajulishwa tiketi zilizokatwa Zanzibar pekee ni 1700 na seating capacity ya meli haizidi 650.

Vilevile unatakiwa kufanya tafiti maana inasemekana SUMATRA waliikataa hii meli wakidai haina viwango lakini kwa kuwa kulikuwa na mkono wa mtu wa baraza la wawakilishi meli hii iliruhusiwa kufanya kazi na SUMATRA waliambiwa wasiingilie mambo ya muungano na wao wqakafunga ofisi zao za Zanzibar sina hakika na hili bati ni info nilizopata from a believable source.

The insurance claim is absolutely suppose to be repudiated/ NOT PAYABLE

Halafu hakuna maelezo ambayo tumeshayaskia kutoka kwa majeruhi kuhusu technical failure ya chombo (meli) sababu ambayo ingepaswa kuwa subject ya malipo ya Bima, tunaskia ni overload tu ambayo siyo cover ya insurance. Pia niliskia Nahodha (dereva wa meli) alikataa kuiondoa Unguja kuelekea Pemba kwasababu mzigo ulizidi sana hata ikakaa upande hapo hapo bandarini kabla hata haijaanza safari. Ndipo Wafanyabiashara wenye maslahi na meli hiyo walipomtafuta Nahodha mwingine hata sijui walikomtoa ili aje kuchezea roho za watu. Mazingira yote hayo yanajustify uzembe ambao ukiingia nao ofisi ya bima unapigwa chini receiption tu.
 
Back
Top Bottom