General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Nipo Hapa Rombo Green views....
Kiukweli karibia Shekilangobyote inanuka mizoga ya Kuku, barabara nzima hapa ni harufu iliyo oza ya viumbe hai.
Sijui kwanini Mamlaka ya Jiji (watu wa Mazingira) wamelikalia hili suala kimya.
Kiukweli inakera sana, inasikitisha.
Sio hapa pekee, hata pale soko la manzese ukipit unasikia harufu ya Mizoga tu.
Sijui Jiji limejipangaje kuondokana na kero hii.
Inapaswa sehemu za machinjio kuwa nje ya Jiji au moundombinu ya Uchinjaji iwe ya kisasa kuondoa tatizo hili.
Makonda angedili na masuala kama haya sio kukagua watu wasio oga.
Kiukweli karibia Shekilangobyote inanuka mizoga ya Kuku, barabara nzima hapa ni harufu iliyo oza ya viumbe hai.
Sijui kwanini Mamlaka ya Jiji (watu wa Mazingira) wamelikalia hili suala kimya.
Kiukweli inakera sana, inasikitisha.
Sio hapa pekee, hata pale soko la manzese ukipit unasikia harufu ya Mizoga tu.
Sijui Jiji limejipangaje kuondokana na kero hii.
Inapaswa sehemu za machinjio kuwa nje ya Jiji au moundombinu ya Uchinjaji iwe ya kisasa kuondoa tatizo hili.
Makonda angedili na masuala kama haya sio kukagua watu wasio oga.