Mamlaka ya Hali ya Hewa yatoa tahadhari ya mvua kubwa...

quote_icon.png
By BADILI TABIA
yamesogezwa mbele


Duh mbavu zinaniuma kwa kicheko..........:lol:
 
tuwasamehe bure. Wanafanya kazi kama waganga wa jadi(wapiga ramli)

Vifaa vyao ni vya mwaka 47, nadhani vimesha-expire so vinawapa taarifa potofu. sio makosa yao ni makosa ya mafisadi wanaofisidi nchi kwa kuneemesha matumbo yao badala ya kuimarisha mamlaka kama hizi kiutendaji. Tusiwalaumu
 
haya ngoja tuone
uone nini kwa mchumia tumbo hana lolote kauli yake inataka tumuamini yeye kulko wataalmu wa TMA.. That z foolishness.. Alichopaswa kusema kama mtumishi wa mungu ni kwamba nitaomba mungu asituletee mvua zitakazo sababsha dhahma
 
mimi naomba tu kuuliza hawa tma wanafanya kazi kataalam au wanatabiri kama shekhe yahaya?
 
Mamlaka ya hali ya hewa nchini imetoa tahadhari ya uwezekano wa kutokea mvua kubwa mwanzoni mwa wiki ijayo katika mikoa inayopakana na bahari ya hindi. Kwa maelezo zaidi http://www.meteo.go.tz/store/warning.pdf au http://www.meteo.go.tz/store/tahadhari.pdf pia katika page zao Tanzania Meteorological Agency | Facebook na www.twitter.com/tma_services
angalao sasa wamezinduka kutumia mitandao ya kijamii, maana walilala na kujenga chuki na waandishi waanzilishi wa uandishi wa habari za haki ya hewa. waache kujenga mitandao kwa jambo linalohusu maisha ya watu
 
Ni kisiasa zaidi ili tenesco watengeneze mgao kisa kujihami na mafuriko yatakotokea kwa kuimarisha miundo mbinu
 
asante kwa kutujuza tuanze kuyahama mabonde kabla balaa halijatufika
 
Mkiambiwa mnapenda ushirikina, mnataka kurusha ngumi, hivi jiulize umeshawahi kuwadharau madaktari kwa sababu alimwandikia mgonjwa wako dawa lakini hakupona, Akafa!!!

MaGT jiongezeni kidogo, mko slow!!!!
 
Mbona walisema mafuriko yangetokea mwezi wa Tisa?

Mkuu kutokana na madiliko ya hali ya hewa kuwa makubwa tangu utabiri unapotelewa hadi kipindi ambacho utabiri husika unatakiwa kuanza kutumika ni vyema baada ya utabiri kutolewa tukafatilia updates zake.
 
mimi naomba tu kuuliza hawa tma wanafanya kazi kataalam au wanatabiri kama shekhe yahaya?
Utabiri wa hali ya hewa ni kazi ya kisayansi hivyo TMA wanafanya kazi yao kisayansi. Utabiri unaanzia kwenye kukusanya taarifa za hali ya hewa (Pressure, Temperature (Maximum na Minimum), Humidity, Cloud Cover, Wind (Speed& Direction) n.k.
Kwa kifupi kwa hivi vichache nilivyovitaja vinatosha kutofautisha utabiri wa hali ya hewa na utabiri......
 
Back
Top Bottom