Mamlaka ya Hali ya Hewa yafafanua baridi la Njombe: Kinachotokea ni Sakitu siyo theluji

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,306
5,452
Kutokana na baridi na kuonekana vitu kama barafu kwa siku za karibuni maeneo ya Njombe hali ambayo imesababisha watu wengi wawe na maswali tofauti kimefafanuliwa.

Mamlaka Hali ya Hewa Nchini (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea maeneo ya Njombe kwa siku kadhaa ni kutokea kwa Sakitu, ambapo hiyo ni hali ya kuganda kwa umande katika eneo la uso wa ardhi kwa muonekanao inakuwa kama theluji.

Meneja TMA, Samwel Mbuya amesema: “Tumeangalia kitaalamu na kugundua kinachotokea ni Sakitu au ‘frosty’, hiyo inatokana na baridi kuwa kali na kwa kuwa kuna upepo wa kusi inasababisha maeneo mengine kuongezeka kwa baridi kutokana na upepo huo.


Chanzo: Azam TV
 
Tunaomba kapicha tuone nasisi ambao atupo njombe
Kutokana na baridi na kuonekana vitu kama barafu kwa siku za karibuni maeneo ya Njombe hali ambayo imesababisha watu wengi wawe na maswali tofauti kimefafanuliwa.

Mamlaka Hali ya Hewa Nchini (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea maeneo ya Njombe kwa siku kadhaa ni kutokea kwa Sakitu, ambapo hiyo ni hali ya kuganda kwa umande katika eneo la uso wa ardhi kwa muonekanao inakuwa kama theluji.

Meneja TMA, Samwel Mbuya amesema: “Tumeangalia kitaalamu na kugundua kinachotokea ni Sakitu au ‘frosty’, hiyo inatokana na baridi kuwa kali na kwa kuwa kuna upepo wa kusi inasababisha maeneo mengine kuongezeka kwa baridi kutokana na upepo huo.


Chanzo: Azam TV
 
Mkuu wa wilaya kapinga kuwa njombe IPO shwari nyie TMA mnasema umande umeganda ila sio barafu.

Kwanini kila kitu mnafanya propaganda?
Nchi nzima tunajua Njombe na Makete ni kitovu cha baridi.

Hii serikali kila kitu inaficha maiti mlificha na barafu nayo mnataka kuficha?
 
Kutokana na baridi na kuonekana vitu kama barafu kwa siku za karibuni maeneo ya Njombe hali ambayo imesababisha watu wengi wawe na maswali tofauti kimefafanuliwa.

Mamlaka Hali ya Hewa Nchini (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea maeneo ya Njombe kwa siku kadhaa ni kutokea kwa Sakitu, ambapo hiyo ni hali ya kuganda kwa umande katika eneo la uso wa ardhi kwa muonekanao inakuwa kama theluji.

Meneja TMA, Samwel Mbuya amesema: “Tumeangalia kitaalamu na kugundua kinachotokea ni Sakitu au ‘frosty’, hiyo inatokana na baridi kuwa kali na kwa kuwa kuna upepo wa kusi inasababisha maeneo mengine kuongezeka kwa baridi kutokana na upepo huo.


Chanzo: Azam TV
Wawadanganye wasioijua barafu, wangeenda milima ya Kipengere two weeks ago wangekuja na statement nyingine
 
Kuna video nimeiona imechukuliwa makete, Yani Ile Ni snow kabisa Kama vile uko ulaya. Snow Imejaa barabarani Halafu watoto wanaenda shule wamevaa kaptula mpaka unajiuliza hiyo baridi miguuni haiwapigi.
 
Mkuu wa wilaya kapinga kuwa njombe IPO shwari nyie TMA mnasema umande umeganda ila sio barafu

Hawa ma-DC wanaoteiliwa toka DSM na Dodoma huwa hawaelewi mambo mengi ktk vituo vyao vya kazi maana wengine wa wateuliwa ndiyo mara yao ya kwanza kuishi ktk vituo hivyo tena kwa muda mfupi.


Ni bora uwahoji wazee wa maeneo husika ambao ni wakaazi wa muda mrefu au wataalamu wa TMA au misitu ndiyo watakujibu kwa uhakika badala ya wateuliwa wa kisiasa ambao hutumia siasa kujibu kila swali hata kama hawana majibu ya uhakika.
 
Kutokana na baridi na kuonekana vitu kama barafu kwa siku za karibuni maeneo ya Njombe hali ambayo imesababisha watu wengi wawe na maswali tofauti kimefafanuliwa.

Mamlaka Hali ya Hewa Nchini (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea maeneo ya Njombe kwa siku kadhaa ni kutokea kwa Sakitu, ambapo hiyo ni hali ya kuganda kwa umande katika eneo la uso wa ardhi kwa muonekanao inakuwa kama theluji.

Meneja TMA, Samwel Mbuya amesema: “Tumeangalia kitaalamu na kugundua kinachotokea ni Sakitu au ‘frosty’, hiyo inatokana na baridi kuwa kali na kwa kuwa kuna upepo wa kusi inasababisha maeneo mengine kuongezeka kwa baridi kutokana na upepo huo.


Chanzo: Azam TV
Mamlakaa! Hata umande kuganda mnachunguza kitaalamu! Mbona Mbeya ni kitu cha kawaida alfajiri kukuta nje kuko kama kumemwagwa unga na watu hawashangai, mambo mengine yaacheni yapite.
 
Back
Top Bottom