JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,306
- 5,452
Kutokana na baridi na kuonekana vitu kama barafu kwa siku za karibuni maeneo ya Njombe hali ambayo imesababisha watu wengi wawe na maswali tofauti kimefafanuliwa.
Mamlaka Hali ya Hewa Nchini (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea maeneo ya Njombe kwa siku kadhaa ni kutokea kwa Sakitu, ambapo hiyo ni hali ya kuganda kwa umande katika eneo la uso wa ardhi kwa muonekanao inakuwa kama theluji.
Meneja TMA, Samwel Mbuya amesema: “Tumeangalia kitaalamu na kugundua kinachotokea ni Sakitu au ‘frosty’, hiyo inatokana na baridi kuwa kali na kwa kuwa kuna upepo wa kusi inasababisha maeneo mengine kuongezeka kwa baridi kutokana na upepo huo.
Chanzo: Azam TV
Mamlaka Hali ya Hewa Nchini (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea maeneo ya Njombe kwa siku kadhaa ni kutokea kwa Sakitu, ambapo hiyo ni hali ya kuganda kwa umande katika eneo la uso wa ardhi kwa muonekanao inakuwa kama theluji.
Meneja TMA, Samwel Mbuya amesema: “Tumeangalia kitaalamu na kugundua kinachotokea ni Sakitu au ‘frosty’, hiyo inatokana na baridi kuwa kali na kwa kuwa kuna upepo wa kusi inasababisha maeneo mengine kuongezeka kwa baridi kutokana na upepo huo.
Chanzo: Azam TV