Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,975
Hizi mvua Mungu atusaidie, hapa tunaandika helicopter ya jeshi na ya police zinafanya shughuli za uokoaji wa wahanga wa mafuriko kilwa huko.... Hali ni tete mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app