Jamani TPA kulikoni tunashindwa kutoa mizigo tangu jana eti system hakuna, nani anadhibiti hii system?
Tuna wateja kutoka nchi jirani wanafuata magari yao wanapata hasara kukaa zaidi ya muda wao hebu fanyeni kazi, yaani mpaka muda huu hakuna invoice zilizotoka tangu jana.
Tunakuomba Waziri hebu ingilia kati hili suala na sijui kama una taarifa hizi.
Tuna wateja kutoka nchi jirani wanafuata magari yao wanapata hasara kukaa zaidi ya muda wao hebu fanyeni kazi, yaani mpaka muda huu hakuna invoice zilizotoka tangu jana.
Tunakuomba Waziri hebu ingilia kati hili suala na sijui kama una taarifa hizi.